Mudathiri kuikosa Dabi ya Kariakoo, Simba ikitozwa faini Sh15 milioni
Kiungo wa Young Africans SC, Mudathir Yahya, amefungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya Sh milioni moja kufuatia kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Pamba Jiji FC, Ibrahim Abraham, wakati wa...