Mikono yao itaamua ubingwa Kombe la Dunia NI nyota wa ushambuliaji ambao huenda waongoza katika vichwa vya habari kwenye fainali za Kombe la Dunia la 2026 zinazoanza leo, lakini nyuma ya kila bao la Lionel Messi, kuna Emiliano Martinez...
Marekani yataja sababu refa Msomalia kuzuiwa Msemaji wa Idara ya Forodha na Ulinzi wa Mipaka ya Marekani (CBP), amethibitisha kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, alizuiwa kuingia nchini humo kutokana na wasiwasi unaohusiana na...
Wanawake wanavyojishindia mamilioni kupitia SportPesa SportPesa Tanzania inasherehekea mafanikio makubwa baada ya wanawake wawili kutoka mazingira tofouti kushinda jumla ya Sh 857 milioni, jambo linaloonyesha kukua kwa ushiriki wa kinamama katika...
Kikosi cha matajiri Kombe la Dunia 2026 KOMBE la Dunia 2026 halitakuwa mkusanyiko wa wachezaji bora zaidi duniani, bali pia wa baadhi ya wanamichezo matajiri zaidi katika historia ya soka.
Mashabiki DR Congo wapigwa marufuku dhidi ya Chile Mechi ya mwisho ya maandalizi ya Kombe la Dunia ya DR Congo dhidi ya Chile itachezwa bila mashabiki kutokana na wasiwasi kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini DR Congo.
Ian Wright avunja ukimya Msomalia kuondolewa Kombe la Dunia MAONI makali ya nguli wa soka wa England, Ian Wright, kuhusu sintofahamu zinazoendelea kuelekea Kombe la Dunia 2026 yamezua mjadala mkubwa baada ya kulalamikia kile alichokiita mazingira yasiyo...
Huyu ndo Artan aliyeondolewa Kombe la Dunia KWA mujibu wa taarifa kutoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), imesema kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan ameondolewa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia 2026 na shirikisho...
Savinho anavyopitia misuli ya Spurs, Man United WINGA wa Brazil na Tottenham Hotspur, Savio Moreira de Oliveira maarufu Savinho, mwenye umri wa miaka 22 anadaiwa kuwa katika hatua za lalasalama za kupitia ofa kutoka Manchester United na...
Curacao taifa dogo, kocha mzee Kombe la Dunia 2026 CURACAO ni hadithi ya kishujaa kwenye Kombe la Dunia. Nchi ndogo ya kisiwa cha Karibiani, yenye idadi ya watu takriban 158,000 tu lakini maisha ya usiku yanayoshindana na London au New York, ipo...