Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1014 results for Eliya Solomon :

  1. PRIME Upepo wa ubingwa Bara, mtego upo hapa!

    UPEPO umebadilika. Upepo wa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara umebadilika baada ya timu kadhaa zilizokuwa zikichuana na vigogo Simba na Yanga kujichuja wenyewe njiani.

    UPEPO Pict
  2. Fadlu: Sasa tunawataka Al-Masry

    BAADA ya ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika Ligi Kuu Bara, Kocha wa Simba, Fadlu Davids ameonyesha kuridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi chake akisisitiza kuwa kazi...

  3. Mangungu atoa kauli Yanga kwenda CAS

    MWENYEKITI wa Simba SC, Murtaza Mangungu amegusia taarifa ya Klabu ya Yanga kuwa inataka kwenda Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), kudai pointi tatu za mchezo wa Kariakoo Dabi...

  4. Ahoua, Kibu wafunika, Simba ikiifyatua Dodoma Jiji

    TUSIZOEANE. Ni kama onyo kali vile ilichofanya Simba jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kwa kuweka rekodi ya kibabe huku wakipunguza utofauti wa pointi kati yao na...

    SIMBA Pict
  5. Manula, Samatta kuwakosa Morocco

    KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema kukosekana kwa nahodha Mbwana Samatta kutaliwezesha benchi la ufundi kuwa na mpango mbadala katika mchezo wa...

    TAIFA STARS Pict
  6. PRIME Fadlu: Mastaa Simba waliitaka Dabi

    KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amepongeza juhudi za wachezaji wa timu hiyo baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TMA Stars na kutinga 16 Bora ya Kombe la Shirikisho, lakini akifichua kuhusu Dabi...

  7. Mbele ya Mpanzu kazini kwa Balua kuna kazi

    EDWIN Balua alikuwa miongoni mwa wachezaji waliotarajiwa kung’ara ndani ya kikosi cha Simba SC msimu huu, hasa baada ya kuonyesha kiwango bora chini ya Juma Mgunda mwishoni mwa msimu uliopita...

  8. Simba yaichapa TMA, yafuzu 16 bora

    SIMBA imetinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho (FA) kufuatia kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TMA Stars kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam, leo, ambapo...

  9. Minziro akalia kuti kavu Pamba JIji

    KOCHA wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’, amejikuta kwenye presha kubwa kutokana na mwenendo mbaya wa timu hiyo katika mechi mbili zilizopita za ligi, hali inayochochea madai baadhi ya wachezaji...

    MINZIRO Pict
  10. Beki Azam atua Ulaya

    BEKI wa kushoto raia wa Senegal, Cheick Sidibe amejiunga na klabu ya HJK Helsinki ya Finland akiwa mchezaji huru baada ya kuachana na matajiri wa Chamazi, Azam FC.

    BEKI Pict
Previous

Page 7 of 102

Next