Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1057 results for Eliya Solomon :

  1. Nini kinachoisumbua Azam FC?

    NI msimu ambao mashabiki wa Azam FC wanataka umalizike haraka. Kuanzia mapema katika Ngao ya Jamii hadi sasa ligi ikielekea ukingoni, kila tumaini limekuwa kama jua la asubuhi lililofunikwa na...

    AZAM FC Pict
  2. PRIME Hii hapa njia ya Simba kubeba ubingwa CAF, RS Berkane ijipange

    KWA muda wa zaidi ya miaka 30, mashabiki wa Simba wamekuwa wakisubiri kwa hamu siku ambayo timu hiyo itaandika historia mpya katika ramani ya soka la Afrika. Hatimaye, siku hiyo imefika.

    SIMBA Pict
  3. Mamia waipokea Simba uwanja wa ndege mvua ikinyesha

    MAMIA ya mashabiki wa Simba wamejitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), usiku huu kuwapokea wachezaji waliorejea kutoka Afrika Kusini baada ya kuandika historia...

  4. David Ouma afunguka Singida BS kupotezea Muungano

    BAADA ya kuaga mapema michuano ya Kombe la Muungano inayofanyika Pemba, Zanzibar, kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amewataka wachezaji kusahau kilichopita na kuelekeza macho kwenye ligi...

    OUMA Pict
  5. PRIME Beki Stellenbosch auogopa mziki wa Mpanzu

    MECHI ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Stellenbosch dhidi ya Simba itakayopigwa Aprili 27, 2025 kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban nchini Afrika Kusini...

  6. PRIME Simba yapewa refa wa 1-0 Sauzi

    SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limemkabidhi mwamuzi wa kimataifa kutoka Misri, Amin Omar jukumu la kuchezesha mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya...

  7. PRIME Fadlu: Dakika 10 zitaamua, Mpanzu apigilia msumari mchongo wa fainali CAFCC

    KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, aamesema timu yake itaenda Afrika Kusini kushambulia na kufunga, si kulinda bao moja walilopata nyumbani na kwamba katika dakika 10 za kwanza wataipa Stellenbosch ya...

  8. PRIME Kilichoikwamisha Simba Zanzibar hiki hapa

    Unakumbuka mwaka 1993 wakati Simba inacheza fainali ya Kombe la CAF ambalo baadaye 2004 likaunganishwa na Kombe la Washindi kisha kuzaliwa Kombe la Shirikisho Afrika? Basi kwa kukukumbusha tu ni...

    ZNZ
  9. PRIME Simba v Stellenbosch hatari ipo hapa

    UNAKUMBUKA mwaka 1993 wakati Simba inacheza fainali ya Kombe la CAF ambalo baadaye 2004 likaunganishwa na Kombe la Washindi kisha kuzaliwa Kombe la Shirikisho Afrika? Basi kwa kukukumbusha tu ni...

  10. Kocha Stellenbosch: Simba ni timu hatari CAF

    Kocha wa Stellenbosch FC, Steve Barker, amesema Simba SC ni moja ya timu hatari zaidi kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, akisisitiza kuwa ubora wa Wekundu wa Msimbazi hauishii kwa...

Previous

Page 7 of 106

Next