Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. PRIME Yanga, Inonga kuna jambo! iko hivi

    KIKOSI cha Yanga kimeanza maandalizi ya mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate, lakini kukiwa na taarifa kwamba mabosi wa klabu hiyo wameanza hesabu za kumrejesha nchini beki...

  2. PRIME Siku 14 kuamua hatma ya Pacome Yanga

    KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa siku 10 hadi 14 baada ya kuumia kifundo cha mguu (ankle sprain).

    pacome Pict
  3. Pointi tano zampa nguvu Mgunda

    POINTI tano ilizovuna Namungo kupitia mechi tatu zilizopita za Ligi Kuu Bara, zimempa kiburi kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda aliyesema licha ya kikosi hicho kuyumba mwanzoni, bado anaamini...

    MGUNDA Pict
  4. Jaffar Kibaya aamsha mzuka Mashujaa

    MSHAMBULIAJI wa Mashujaa, Jaffar Kibaya anayemiliki mabao matatu hadi sasa katika Ligi Kuu, ametoa hamasa kwa mastaa wenzake hususani wanaocheza eneo la ushambuliaji kutumia kwa makini nafasi...

    KIBAYA Pict
  5. Vigogo African Sports wala kiapo Championship

    KATIKA kuhakikisha African Sports inakwepa janga la kushuka daraja, viongozi wa kikosi hicho wamefanya kikao cha kujadili mambo mbalimbali yanayoihusu, huku kubwa ni jinsi gani ya kukabiliana na...

    SPORTS Pict
  6. PRIME Dube: Kuna jambo linakuja

    TANGU mshambuliaji Prince Dube aanze kucheza Ligi Kuu Bara 2020/21, amesema huu wa sasa ndio anaamini kwamba una tofauti katika maisha yake ya soka, huku akidai kuna kitu cha zaidi kinakuja.

  7. Taoussi: Yanga ilituzidi ubora

    Kipigo cha jana usiku kilikuwa cha tano msimu huu kwa Azam ikicheza mechi 26, ushindi 15, sare sita ikifunga mabao 39 huku yenyewe ikifungwa 15.

    TAUSI Pict
  8. Sababu Matano kutoonekana Fountain Gate

    KUTOONEKANA kwa Kocha Robert Matano kwenye benchi la ufundi la Fountain Gate katika mechi mbili zilizopita za Ligi Kuu Bara, kumeibua maneno mengi zikimuhusisha na kutimuliwa kwake baada ya...

    MATANO Pict
  9. Kaseja azichungulia dakika 180 za kubaki

    KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja ameshtushwa na mfululizo wa matokeo mabaya ya kikosi chake kilichopoteza mechi mbili mfululizo za ligi huku akikiri mambo yanazidi kuwa magumu kwao.

    KASEJA Pict
  10. Vita ya ubingwa Ligi Kuu sasa Simba, Yanga

    KILA siku zinavyozidi kwenda, Azam FC inashuka kiwango huku kipigo cha mabao 2-1 ilichokipata kutoka kwa Yanga, kikiweka rehani nafasi yao ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao huku ikiwa...

    AZAM Pict
Previous

Page 7 of 188

Next