Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1871 results for Charity James :

  1. Mo Dewji amkingia kifua Ahoua, aitaja Stellenbosch

    SIKU moja baada ya kiungo wa Simba, Charles Ahoua kukosa nafasi ya wazi ambayo ingeisaidia timu hiyo kushinda mabao mawili dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini kwenye uwanja wa nyumbani...

    momo
  2. Fountain Gate yamkomalia Yusuphu Athuman

    SIKU chache baada ya mshambuliaji Yusuph Athuman kutambulishwa na Yangon United ya Ligi Kuu Myanmar, uongozi wa Fountain Gate imeibuka na kuweka wazi kuwa bado ni mchezaji wao halali.

  3. Fei Toto aipa pigo Azam FC

    KIKOSI cha Azam kipo Bukoba kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, lakini kikiwa na pigo baada ya kiungo mshambuliaji nyota, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kutokuwepo kutokana na...

    FEI Pict
  4. Gomez achekelea kombe la dunia

    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu ‘Gomez’ amesema licha ya kutokuwa na uhakika wa kucheza katika kikosi cha kwanza, lakini...

    GOMEZ Pict
  5. Ambundo ajichomoa Fountain Gate

    KIUNGO mshambuliaji wa Fountain Gate, Dickson Ambundo amejiengua katika kikosi hicho kwa madai ya kutolipwa malimbikizo ya fedha zikiwamo za usajili zipatazo Sh50 milioni.

    AMBUNDO Pict
  6. Kocha Azam FC bado hajatupa taulo Bara

    KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema bado hajakata tamaa ya kupambana kumaliza ndani ya Nne Bora ya Ligi Kuu na kwa sasa anarejea tena katika vita ya ligi hiyo kwa kukabiliana na Kagera...

    AZAM Pict
  7. Sokoine kuna vita ya maafande

    UHONDO wa Ligi Kuu Bara umerejea tena baada ya kusimama kwa wiki moja ambapo viwanja viwili leo Ijumaa vitawaka moto, kazi kubwa ikiwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya wakati maafande wa...

    SOKOINE Pict
  8. PRIME Hamdi aja na mkakati wa siku 5 Yanga

    KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi amesema licha ya ugumu wa ratiba iliyonayo timu hiyo, lakini ametengeneza mkakati kabambe wa siku tano ili kuendelea kugawa dozi kama kawaida katika Ligi Kuu...

    HAMDI Pict
  9. PRIME Rekodi zaibeba Simba Amaan

    BAADA ya Simba kutanganza kuwa mechi yao dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini itachezwa kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar, wadau wa soka wameitaka kujiandaa vizuri ili kutumia vizuri uwanja...

    ZNZ Pict
  10. DAKIKA ZA JIOONI: KMC bado haieleweki

    KUTOKA nafasi ya tano hadi hivi sasa kupiga hesabu za vidole kuepuka kushuka daraja, inadhihirisha wazi kwamba KMC imekuwa na kiwango cha kupanda na kushuka.

    New Content Item (1)
Previous

Page 6 of 188

Next