Dar Kings haishikikii TCA U17 Dar Kings imeendelea kufunika katika Ligi ya TCA kwa vijana wa umri chini ya miaka 17, kwenye viwanja vya UDSM na Dar Gymkhana, baada ya kuifumua Gairo Kings kwa mikimbio 22.
Mastaa wa Gofu watua Dar kuipamba Lina PG Tour NYOTA wa gofu kutoka klabu mbalimbali nchini wanaanza kuwasili Dar kuanzia leo kushiriki mashindano ya Lina PG Tour yanayokamilisha raundi ya tano, kwenye viwanja vya Dar Gymkhana.
Tanzania, Kenya zaiomba FIA kunusuru ARC TANZANIA imeunga mkono ombi la Kenya linalokitaka Chama cha Mbio za Magari Duniani (FIA) kupunguza ada ya kibali cha kuandaa mbio za magari ubingwa wa Afrika sambamba kuwadhamini madereva...
Mollel ainusa Dubai, Lina Tour zamu ya Dar MCHEZA gofu ya kulipwa kutoka Arusha, Nuru Mollel ana asilimia kubwa ya kwenda Dubai endapo ataibuka mshindi wa jumla kwenye michuano ya Lina PG Tour, inayotarajiwa kuanza wiki ijayo, jijini Dar...
Olomi aipaisha Tanzania gofu Afrika NEEMA Olomi ameonyesha kiwango bora kabisa katika michuano ya gofu ya ubingwa wa Afrika iliyomalizka mwishoni mwa wiki mjini Agadir, Morocco baada ya kushika nafasi ya saba kati ya zaidi ya...
Tanzania yapania ushindi gofu Afrika leo Wacheza gofu wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania wamepania kuianza vyema raundi ya kwanza ya michuano ya gofu ya Afrika inayoanza rasmi leo baada kukamilika kwa mazoezi ya siku tatu katika...
Timu ya taifa ya kriketi yajifua bondeni Baada ya mazoezi ya kina kwa kutumia timu za Ruaha na Tarangire, wachezaji wa timu ya taifa ya wanwake ya kriketl imeanza mafunzo zaidi ya kiufundi nchini Afrika ya Kusini.
Caravans haishikiki Ligi ya Mabingwa T20 Timu ya Caravans inaonekana kuwa ni moto wa kuotea mbali kwa kriketi ya mizunguko 20 baada ya kuwafunga vigogo wa Upanga kwa wiketi 6 katika mchezo uliopigwa jijini mwishoni mwa juma.
Watanzania mguu sawa gofu Morocco TIMU ya Taifa ya gofu ya Wanawake imeanza rasmi mazoezi ya kuvisoma viwanja vya Klabu ya Taghazout , mjini Agadir kutakapofanyika michuano ya Afrika inayoanza kesho , Morocco.
Kibasu, Ruaha zang’ara TCA Ruaha Girls imeibuka mbabe mara mbili dhidi ya Tarangire Girls katika michezo ya majaribio ya kriketi kwa nyota wa kike nchini, kwenye Uwanja wa UDSM, jijini mwisho wa juma.