Refa Stellenbosch, Simba abadilishwa ghafla Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limefanya mabadiliko ya ghafla ya refa wa mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Stellenbosch na Simba itakayochezwa...
Uefa kufanya mabadiliko matatu BAADA ya kukosoelewa sana kuhusu muundo wao mpya wa Ligi ya Mabingwa, shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) sasa linataka kufanya mabadiliko ya aina tatu katika mashindano hayo kuanzia msimu ujao.
Coastal Union yaanza upyaa Bara KAIMU Kocha Mkuu wa Coastal Union, Joseph Lazaro, amesema hivi sasa wameanza kuuona mwanzo mpya wa timu yao ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya hapo awali kuwa na matokeo mabaya mfululizo.
Tuzo yampa nguvu staa Mashujaa ABDULRAHMAN Mussa ambaye anatumika kama beki wa kulia ndani ya kikosi cha Mashujaa, amesema tuzo aliyoipata katika mchezo dhidi ya Coastal Union imempa nguvu mpya ya kuendelea kupambana. Mussa...
Maafande wa JKU inajipigia tu Zenji WATETEZI wa Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), JKU ubingwa inautaka tena baada ya juzi kuendelea kugawa dozi katika ligi hiyo na kuzidi kujiimarisha kileleni mwa msimamo ikiifyatua Tekeleza ya Pemba kwa...
JKU yabeba ubingwa Ligi Kuu ya Zanzibar MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa taji la Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), jana Ijumaa baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, huku Zimamoto ikicharazwa mabao 2-0 na New City wakati ligi hiyo...
PRIME Siri yafichuka, Chama apewa mkataba mnono Yanga Hata hivyo, mara baada wakala huyo kujifungia na Chama wakizungumzia dili hilo, kiungo huyo alishindwa kukubaliana na ofa hiyo akiwaambia atabaki Tanzania, ingawa anaweza kucheza timu tofauti na...
Caravans T20... Lions yawaliza Flashnet Strikers ILIKUWA ni jioni njema kwa Park Mobile Lions baada ya ushindi mnono wa mikimbio 60 dhidi ya Flashnet Strikers katika mduara (oval) wa Leaders Club jijini, Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Kumekucha Climate Change Marathon 2024 MSIMU wa tatu wa mbio za mabadiliko ya Tabia Nchi kwa mwaka 2024, Climate Change Marathon 2024 zinatarajiwa kufanyika wilayani Pangani kwa mara ya kwanza zikihusisha washiriki kutoka ndani na...
Kitendawili Mwanachi Day! Yanga yaficha jina la timu KLABU ya Yanga jana usiku ilizianika jezi mpya za msimu ujao, zilizogeuka gumzo ikiwa ni siku chache tangu watani wao, Simba kuzindua uzi wao katika hifadhi ya Mikumi, Morogoro huku mabosi wa...