PRIME ‘Uchawi’ wa Ramovic Yanga, upo hapa! KOCHA wa Yanga Mjerumani Sead Ramovic ni wazi gari limemwakia baada ya kushinda michezo sita mfululizo ya Ligi Kuu Bara, huku ikionekana akibebwa zaidi na nyota watatu, Clement Mzize, Prince Dube...
Morrison apewa programu maalumu KenGold NYOTA mpya wa KenGold, Bernard Morrison ‘BM3’, huenda akakosa baadhi ya michezo ya kikosi hicho baada ya kupewa programu maalumu za mazoezi na kocha mpya wa timu hiyo, Mserbia Vladislav Heric...
Bosi mpya Pamba Jiji kuanza na mambo haya OFISA Mtendaji Mkuu wa Pamba Jiji, Peter Juma Lehhet amesema mojawapo ya malengo yake makubwa ni kuhakikisha timu hiyo ya jijini Mwanza inasalia Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku akiomba zaidi...
Kefa apewa Simba, Kyando apigwa chini KAMATI ya waamuzi nchini imefanya mabadiliko ya mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United na Simba.
Mahdi afichua siri Kiluvya United KOCHA wa Kiluvya United, Zulkifri Iddi 'Mahdi' amesema moja ya malengo ya timu hiyo kwa sasa ni kuendelea kusalia msimu ujao wa Ligi ya Championship, baada ya kuona nafasi waliyopo ni finyu ya...
Haaland, Raizin katika vita mpya MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame 'Haaland' amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh inamfanya kutobweteka bali kuendelea kupambana zaidi, huku akieleza...
Nyota Chama la Wana matumaini kibao BAADA ya Lucas Sendama kujiunga na Stand United 'Chama la Wana' katika dirisha dogo lililofungwa Januari 15, mwaka huu, mshambuliaji huyo amesema ni wakati sahihi kwake wa kupambana na kuirejesha...
Mtibwa Sugar ni mwendo mdundo KIKOSI cha Mtibwa Sugar kimeendeleza umwamba baada ya kuichapa Cosmopolitan mabao 3-0 wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Manungu Complex Morogoro, ukiwa ni ushindi wa 14 wa timu hiyo msimu huu...
Fundi wa boli arejesha mzuka kikosini KMC Msimu wake wa kwanza alimaliza na mabao matatu ya Ligi, ingawa safari hii ameanza kwa kuandamwa na majeraha, huku pia akionyeshwa kadi nyekundu walipochapwa mabao 3-1, dhidi ya Fountain Gate...
Mkongomani kiroho safi Dodoma Jiji Beki huyo wa kati mwenye uwezo wa kucheza upande wa kulia au kushoto kwa ufasaha, alisema haogopi changamoto zozote kwa sasa katika maisha yake, huku akiweka wazi usajili mpya katika dirisha dogo...