PRIME Gamondi: Nataka ubingwa wa Afrika BAADA ya msimu uliopita wa mashindano 2023/24 kumalizika, Yanga ikiwa na mataji yote ya ndani, Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) huku katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikitikisa...
Nahodha JKT amkingia kifua Ateba NYOTA wa JKT Tanzania, Edward Songo amesema moja ya usajili wa wachezaji wa kigeni waliomvutia msimu huu hadi sasa ni mshambuliaji wa Simba raia wa Cameroon, Leonel Ateba aliyejiunga nao...
Kopunovic aanza kujistukia Pamba WAKATI presha ya kutopata ushindi kwenye Ligi Kuu Bara ikizidi kuiandama Pamba Jiji, Kocha Mkuu, Goran Kopunovic amekiri huenda mbinu zake ndiyo tatizo huku akigoma kumtupia lawama yeyote na...
AKILI ZA KIJIWENI: Aggrey Morris anafuata njia za Aliou Cisse KABLA ya mafanikio ya kufundisha timu ya taifa ya Senegal, Aliou Cisse alianzia kikosi cha timu ya taifa ya vijana ya nchi hiyo chini ya umri wa miaka 23.
AKILI ZA KIJIWENI: Afrika Mashariki tuitendee haki Chan RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf), Patrice Motsepe hivi karibuni alitangaza habari njema ambayo nchi za Tanzania, Kenya na Uganda hapana zingeifurahia.
Kiluvya yamchorea ramani Mingange KOCHA Mkuu wa Stand United, ‘Chama la Wana’, Meja Mstaafu Abdul Mingange amesema mchezo wa kwanza ugenini dhidi ya Kiluvya United utampa ramani ya kikosi chake na uelekeo katika Ligi ya...
NIONAVYO: Manchester City katikati ya mtego mgumu England MABINGWA wa Ligi Kuu England (EPL), Manchester City, juma hili wako katika mtihani mgumu pengine kuliko yote waliyowahi kupitia katika historia ya klabu hiyo.
Tanzania yazidi kupanda viwango vya Fifa Kuvuna pointi nne kwa timu ya taifa ya Tqnzania ‘Taifa Stars’ katika mechi mbili za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) dhidi ya Ethiopia na Guinea hapana shaka kumechangia kusogea...
Benja FC wababe wa Tulia Trust Uyole Cup 2024 TIMU ya soka ya Benja FC imetwaa ubingwa wa michuano ya Tulia Trust Uyole Cup 2024 iliyofikia tamati leo kwenye Uwanja wa Mwawinji, uliopo Uyole Mbeya Mjini.
PRIME Simba na refa wa ‘majaribio’ Yanga, Juma Pondamali alisema kuwa timu hizo za Tanzania hazipaswi kuingiwa wasiwasi na marefa watakaozihukumu wikiendi hii. “Refa anachezesha kwa kufuata sheria 17 za mpira wa miguu, hivyo...