Ligi ya Championship utamu umerudi upyaa MSIMU mpya wa 2024-2025 wa Ligi ya Championship umerejea tena upya huku makocha wa timu zote 16 zinazoshiriki wakikiri utakuwa na mvuto wa aina yake kutokana na usajili mkubwa uliofanyika wa...
Tanzania yapangwa kundi la kifo Afcon ufukweni Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni imepangwa katika kundi la vigogo kwenye fainali za Afrika za soka la ufukweni zitakazofanyika mwezi ujao huko Misri.
Beki JKT amchomoa Kibwana Yanga BEKI wa JKT Tanzania ambaye alipata nafasi ya kucheza Yanga, David Bryson amemtaja Kibwana Shomari kuwa ni beki mzuri lakini anapotezwa na uwepo wa Attohoula Yao.
Mcolombia Azam amvulia kofia Bacca BEKI kisiki wa Azam FC, Fuentes Mendosa ameshindwa kujizuia na kukiri kuwa Ibrahim Hamad 'Bacca' anayekipiga Yanga alistahili kuwa beki bora wa msimu uliopita kutokana na aina ya uchezaji wake...
NMB yaiongezea nguvu Yanga kimataifa KUELEKEA mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia, mabingwa wa Tanzania, Yanga wameitambulisha Benki ya NMB kuwa ni mmoja wa wadhamini...
Beki Msenegali amchomoa Fei Toto BEKI wa kushoto wa Azam FC, Cheikh Sidibe amesema hakuna mchezaji asiyetamani kucheza na kiungo wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kutokana na aina ya uchezaji wake, huku akimpa miaka miwili...
Kagera, KenGold acha tuone na leo MSHIKE mshike wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo na michezo miwili itapigwa, huku macho na masikio yakielekezwa Uwanja wa Kaitaba Bukoba kwa mechi kali kati ya wenyeji Kagera Sugar dhidi ya...
Simba, Yanga kuweka rekodi Afrika WIKIENDI hii Yanga na Simba zina mechi za kuamua hatma zao katika michuano ya kimataifa kila mmoja akipambania rekodi zake.
PRIME Gamondi: Nataka ubingwa wa Afrika BAADA ya msimu uliopita wa mashindano 2023/24 kumalizika, Yanga ikiwa na mataji yote ya ndani, Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA) huku katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikitikisa...
Nahodha JKT amkingia kifua Ateba NYOTA wa JKT Tanzania, Edward Songo amesema moja ya usajili wa wachezaji wa kigeni waliomvutia msimu huu hadi sasa ni mshambuliaji wa Simba raia wa Cameroon, Leonel Ateba aliyejiunga nao...