ELFADHILY: soka lina mengi, Wachezaji mtubu NAHODHA wa Tanzania Prisons, Jumanne Elfadhily ametangaza nia ya kustaafu soka, lakini kabla hajafanya hivyo ameamua kuwapa neno wachezaji wenzake kutokana na yale wanayofanya ndani na nje...
Alikiba sasa aitamani Ufaransa MSANII wa Bongo Fleva, Alikiba amesema laiti angekuwa anaweza kuzungumza lugha ya Kifaransa, angehamia Ufaransa kwa ajili ya kuishi, kutokana na kupenda nchi hiyo.
TUONGEE KISHKAJI: Sanaa siyo ngazi kutengeneza maskini wenye majina makubwa RAPA Lord Eyes ana ngoma inaitwa Sanaa. Kwenye ngoma hiyo, rapa mwenzake wa kundi la Weusi, Joh Makini anaimba kiitikio chenye mistari inayosema “sanaa isiwe kazi ya kutengeneza maskini wenye...
Matampi ajichomoa mapemaa Bara KIPA namba moja wa Coastal Union, Ley Matampi ametangaza kujichomoa mapema katika kinyang’anyiro cha tuzo ya kipa bora kwa msimu huu, akisema haoni tumaini la kutetea tuzo hiyo aliyotwaa msimu...
Kennedy aukubali mziki Singida Black Stars NAHODHA wa Singida Black Stars, Kenedy Juma amesema licha ya ugumu na ushindani uliopo katika Ligi Kuu Bara lakini wamepambana na kuongoza ligi ikiwemo ushindi katika mechi tatu za ugenini, huku...
Kocha JKT avivusha vigogo makundi WAKATI Simba na Yanga zikiwa na mchezo wa raundi ya pili katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, kocha mkuu wa JKT Tanzania, Ahmed Ally amezipa mbinu timu hizo.
LYANGA: Straika anayetembelea nyota ya CR7 UNAPOTAJA miongoni mwa washambuliaji wenye vipaji nchini hutaacha kulitaja jina la mshambuliaji wa JKT Tanzania, Daniel Lyanga kutokana na uhodari wake kucheza soka ndani na nje ya nchi.
PRIME BIG WEEKEND! Karata muhimu za heshima Yanga, CBE HII ni wikiendi ya moto viwanjani! Leo na kesho kuanzia Bongo hadi majuu kote kuna mechi za maana ambazo zitakufanya ugande mbele ya TV yako.
Ligi ya Championship utamu umerudi upyaa MSIMU mpya wa 2024-2025 wa Ligi ya Championship umerejea tena upya huku makocha wa timu zote 16 zinazoshiriki wakikiri utakuwa na mvuto wa aina yake kutokana na usajili mkubwa uliofanyika wa...
Tanzania yapangwa kundi la kifo Afcon ufukweni Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni imepangwa katika kundi la vigogo kwenye fainali za Afrika za soka la ufukweni zitakazofanyika mwezi ujao huko Misri.