Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1175 results for Charles Abel :

  1. Simba yabanwa, Yanga yakaa kileleni

    Sare ya bao 1-1 imeifanya Simba kushindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 44, moja nyuma ya vinara Yanga yenye 45.

  2. AKILI ZA KIJIWENI: Dogo Sabri Kondo akili nyingi

    TETESI ambazo tunazo hapa mtaani ni mchezaji bora wa mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 20 (Afcon U20) kupitia Kanda ya Cecafa, Sabri...

    Sabri Pict
  3. AKILI ZA KIJIWENI: Naogopa kumwekea dhamana Mutale

    BAADA ya dirisha dogo la usajili, Joshua Mutale anaonekana kucheza vizuri sana tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzoni hadi akajikuta anawaudhi mashabiki wa Simba.

    Mutale Pict
  4. AKILI ZA KIJIWENI: Yanga, Singida kuna 'udugu' unaendelea?

    RAHA ya udugu ni kusaidiana na kama hamuwezi kufanya hivyo basi hamstahili kuwa ndugu au udugu wenu ni wa mashaka.

    Singida Pict
  5. Mabeki wataamua matokeo Fountain Gate vs Simba

    Safu za ulinzi za Fountain Gate na Simba zitalazimika kufanya kazi ya ziada wakati timu hizo zitakapokutana leo kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati kuanzia saa 10 jioni.

    Fountain Pict
  6. Simba Queens chupuchupu, JKT Queens ikimpiga mtu 12

    Bao la dakika za jioni la Jentrix Shikangwa dhidi ya Ceasiaa Queens kwenye Uwanja wa KMC Complex jana lilitosha kuipa Simba Queens ushindi wa bao 1-0 ambao uliifanya iendelee kutamba kileleni mwa...

  7. Aliyekuwa kocha Singida BS atangazwa kumrithi Ramovic Yanga

    Muda mfupi baada ya kocha Sead Ramovic kubwaga manyanga, Yanga leo, Februari 4, 2025 imetangaza kumchukua kocha wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud kuziba pengo lililoachwa na Mjerumani huyo.

  8. Nyota wa nje walivyopamba kikosi Twiga Stars

    Nyota 11 wanaocheza soka la kulipwa nje ya Tanzania, wameitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars' kitakachoingia kambini Februari 9, 2025 kujiandaa na mechi dhidi ya Guinea...

  9. Simba yaweka kambi ya muda Dodoma

    Baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya Tabora United, juzi Jumapili, Simba imeamua kuweka kambi ya muda ya siku mbili Dodoma kabla ya kuelekea Babati siku moja kabla ya...

  10. PRIME Simba yapishana na mbeleko ya CAF, TFF yahusishwa

    NI sahihi kusema Simba imepishana na gari la mshahara baada ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kupitisha uamuzi wa kuruhusu klabu kuwatumia wachezaji ambao wameshatumikia klabu nyingine kwenye...

    Kanuni Pict
Previous

Page 14 of 118

Next