Search

1869 results for Mwandishi Wetu :

  1. Bodi ya Ligi: Tumechukua  tahadhari Kimbunga Hidaya

    MWANDISHI WETU BODI ya Ligi Tanzania (TPLB) imesema imechukua tahadhari muhimu juu ya tishio la kimbunga kinachoendelea kinachojulikana kwa jina la Hidaya. Ofisa Habari wa TPLB, Karim...

  2. Gamondi amuulizia kiungo Simba

    SIMBA msimu huu imekuwa na kiwango ambacho hakiwafurahishi mashabiki wake lakini kuna wachezaji ambao wamekuwa vipenzi vya mashabiki na wanaamini kama wataendelea kuwepo, miamba hiyo ya Ligi Kuu...

  3. Wababe wa Simba na Yanga katikati ya mtego

    AL Ahly ya Misri itabeba tena? Hilo ndilo swali lililopo vichwani mwa mashabiki na wapenzi wa soka Afrika kwa sasa, wakati wakisubiri mechi mbili za fainali za michuano ya Ligi ya Mabingwa...

  4. PRIME Sababu kwanini Mgunda anatosha Simba

    Mashabiki wa Simba wamepata mzuka upya wakiwa na matumaini makubwa kwa kocha wa timu hiyo Juma Mgunda ambaye anasaidiana na Selemani Matola. Mgunda ambaye alikuwa timu ya Wanawake Simba Queens...

  5. Mgunda aanza na sare Simba

    KAIMU Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda, ameanza majukumu yake ndani ya kikosi hicho kwa kuambulia sare katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo uliochezwa leo kwenye...

  6. Mechi tisa za Mgunda kutembeza boli hizi hapa

    JUMA Mgunda na Seleman Matola wanaanza kibarua chao ndani ya Simba Jioni hii. Lakini ana mechi tisa mkononi ambazo atalazimika kutembeza boli kwa namna yoyote ile kutetea hadhi ya Simba kwenye...

  7. JIWE LA SIKU: Wauaji wapya watatu tu Simba itatisha Afrika

    SIMBA ndiyo timu pekee ya Ligi Kuu Bara ambayo ina taji lolote hadi sasa msimu huu, japo ukimweleza hilo shabiki wa Wekundu wa Msimbazi atakuona kama unamkebehi.

  8. Davido, Wizkid kama Diamond na Konde hapatoshi

    Wanamuziki kutoka nchini Nigeria, Davido pamoja na Wizkid wapo katika bifu zito, baada ya shabiki wa Wizkid katika mtandao wa X (zamani Twitter) kumuomba msanii huyo atoe ngoma mpya ambapo Wizkid...

  9. Bayern, Real Madrid kitaumana leo

    Vigogo wa soka barani Ulaya, Bayern Munich na Real Madrid wataonyeshana kazi usiku wa leo Jumanne katika mchezo wa kwanza matata kabisa wa hatua ya nusu fainali kwenye mikikimikiki ya Ligi ya...

  10. Picha nzima Benchikha kusepa Simba ilianzia hapa

    tamaa juu ya mwenendo wa timu hiyo na baada ya kuhojiwa alijibu: “Ni hali ya kawaida, kubaki mwenyewe ni kitu cha kawaida kabisa kwangu nilikuwa natakafakari kwa kuwa sikuridhishwa na safu yangu...

Previous

Page 2 of 187

Next