Mtoto anavyomtesa Wema Sepetu STAA wa kike hapa nchini Wema Sepetu ameweka wazi namna gani anayakacha matukio yanayohusisha watoto kutokana na yeye kutobarikiwa mtoto hadi sasa. Wema Sepetu mara nyingi amekuwa akionyesha...
Zomea zomea ya mashabiki, yaondoa ofa Azam ZOMEA zomea ya mashabiki katika Uwanja wa Azam Complex imeifanya klabu hiyo kusitisha kuingia bure katika michezo yao. Tangu Ligi Kuu imeanza mashabiki walikuwa wakipewa ofa ya kuingia uwanjani...
PRIME Onana, Konkon washtua Bara Dar es Salaam.Mshambuliaji Willy Onana wa Simba na Hafidh Konkon wa Yanga wameshtua kutokana na muenendo wao wa kusuasua katika timu zao licha ya kuwa na rekodi nzuri walipotoka. Onana...
Mabosi Simba: Hatuwadai kitu LICHA ya Klabu ya Simba kuwa na vizingiti vya kutinga hatua ya nusu fainali katika michuano ya kimataifa, uongozi umewapongeza wachezaji namna walivyopambana ugenini na kutoka sare ya bao...
Nkamia awapa neno mashabiki Simba MWANASIMBA kindakindaki ambaye pia aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo hapa nchini, Juma Nkamia amewataka mashabiki wa klabu hiyo kumuamini kocha wao mkuu, Roberto Oliveira...
Ngoma, Kanoute wamkosha Robertinho KOCHA wa Simba Oliveira Robertinho amefurahishwa na namna ambavyo wachezaji wake walipambana jana licha ya kuondolewa kwenye michuano. Simba jana ilikuwa mgeni wa Al Ahly ya Misri katika mchezo...
PRIME Hawa ni Makocha wenye CV kubwa ila hawana timu WAPO makocha wenye majina makubwa nchini yaliyotokana na CV zao, wengine walicheza soka kwa mafanikio makubwa, pamoja na hayo yote hawana timu wanazofundisha kama ilivyozoeleka. Mwanaspoti...
Robertinho awakumbusha mastaa wake MASTAA wa Simba wametakiwa kuzitumia dakika 90 kama ambavyo walifanya dakika 45 za kipindi cha pili katika mchezo uliopita. Simba kesho itakuwa ugenini ikicheza mechi ya marudiano ya robo...
Mashabiki Simba wamtaka Manula leo BAADHI ya mashabiki wa wekundu wa Msimbazi Simba wameonekana kuimisi huduma ya mlinda mlango wao namba moja Aishi Manula 'Tanzania One' katika mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly. Simba saa 12 jioni...
Hizi hapa neema nje ya dakika za Football League OKTOBA to remember. Ni siku ambayo inaweka historia kwa nchi kutokana ufunguzi wa mashindano makubwa na mapya ya African Football League. Simba ndio watakuwa wenyeji Ijumaa wakiwakaribisha Al...