Video TAZAMA HEKA HEKA ZA WAPINZANI WA SIMBA, WATUA KIMYA KIMYA DAR NA MIZIGO, MECHI YA KISASI... Jumanne, Desemba 10, 2024
PRIME Dili la Simba lakwama Uganda KAMA ulidhani ilimpozuia straika Cesar Lobi Manzoki misimu miwili iliyopita ilitokea kwa bahati mbaya, basi umekosea kwani klabu ya Vipers imeendelea kuibania Simba.
Moto wa Fei Toto hauzimiki Bara KUNA rekodi zilizoandikwa na wanasoka nchini, ambazo kizazi chochote (Gen Z) kinaweza kikasisimka na kutamani kuwafahamu zaidi malegendari hao na zikatumika kama chachu ya kujituma kwa bidii.
PUMZI YA MOTO: Maajabu ya tatu fainali Z'bar Heroes LEO, timu ya taifa ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes' itacheza fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Burkina Faso katika kusherehekea miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.