Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Man United kuja na mpango wa Haaland

Manchester United imejipa miezi 12 ya kumshawishi staa wa Borussia Dortmund na Norway Erling Braut Haaland ajiunge nao katika dirisha lijalo la ajira ya kiangazi.

Mchakato wa kuipata saini ya Haaland katika dirisha hili unaonekana kuwa mgumu baada ya Dortmund yenyewe kusisitiza kwamba haitomuuza. Mkataba wake unamalizika mwaka 2024.