Hesabu nyingine kwa Yanga Ligi Kuu Bara BAADA ya kuanza kwa kishindo, Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo Ijumaa itakuwa na kazi ya kuhakikisha inaendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi, itakapokutana na Pamba Jiji katika mchezo...
Zuchu ni jeshi la mtu mmoja kama Fid Q! MWANAMUZIKI wa Hip Hop Bongo, Fid Q kupitia ngoma yake, Mwanza (2005) iliyotayarishwa na P-Funk Majani chini ya Bongo Records, alijitambulisha kama jeshi la mtu mmoja, akionyesha kuamini katika...
Ilipofikia ishu ya Mlandege, Pamba Jiji TIMU ya Mlandege inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imewasilisha malalamiko Shirikisho la Mpira wa Tanzanzia (TFF) na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) ikidai Pamba Jiji imewatumia...
Mkwasa ampa akili mpya Kibwana KOCHA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Boniface Mkwasa, amesema beki wa kulia, Kibwana Shomari, anapaswa kuonyesha kazi ya ziada ili kupata nafasi kwenye kikosi cha Yanga kutokana na kiwango...
KISIWA CHAMAUTI - 31 ILIPOISHIA Shazume alikuwa kimya akitusikiliza. Bila shaka alikuwa anaona tunajidanganya kujifariji. Kwa mawazo yake, sisi tulikuwa ni wa kufa tu. “Si unajua mzazi aliyekwishamkatia tamaa...
Ilipofikia ishu ya Mlandege, Pamba Jiji TIMU ya Mlandege inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imewasilisha malalamiko Shirikisho la Mpira wa Tanzanzia (TFF) na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) ikidai Pamba Jiji imewatumia...
Polisi SC watakiwa kuongeza umakini MWENYEKITI wa Polisi SC ya Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi, ACP Omar Khamis Abdalla, ameikumbusha timu hiyo kuongeza umakini kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Zanzibar 2026-2027.
Pole Kaseja utaimarika zaidi kiukocha UNAJUA kwa timu kama Kagera Sugar kupigwa sita na Geita Gold ni jambo lililotushtua sana hapa kijiweni.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Arsenal yapewa Madrid, Bayern, PSG kuzifuata Man City, Aston Villa BAADA ya kuchezeshwa kwa droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2026-2027, Arsenal itakuwa mwenyeji wa Real Madrid, Aston Villa itacheza dhidi ya mabingwa watetezi Paris Saint-Germain, huku...