Mo Salah afunga pazia ufungaji bora England

Muktasari:

Manchester City imenyakua taji la ubingwa England baada ya kufikisha alama 98 wakifuatiwa na Liverpool ambao wamemaliza nafasi ya pili wakiwa na alama 97.

WAFUNGAJI BORA

Mohamed Salah (Liverpool/Misri)- Mabao 22

Sergio Aguero (Manchester City/Argentina)-Mabao 20)

Pierre-Emerick Aubameyang (Arsenal/Gabon)-Mabao 20

Sadio Mane (Liverpool/Gabon)-Mabao 20

Jamie Vardy (Leicester City/England)- Mabao 18

TIMU ZILIZOSHUKA

Cardiff-31

Fulham- 26

Huddersfield Town - Pointi 15

TIMU ZILIZOPANDA

Norwich City

Sheffield United

Ushindi Mkubwa nyumbani: Manchester City 6-0 Chelsea

Ushindi Mkubwa Ugenini: Brighton & Hove Albion 0-5 Liverpool

Idadi kubwa ya mabao kwenye mechi moja (8): Everton 2-6 Tottenham Hotspurs