Mo Salah afunga pazia ufungaji bora England
Muktasari:
Manchester City imenyakua taji la ubingwa England baada ya kufikisha alama 98 wakifuatiwa na Liverpool ambao wamemaliza nafasi ya pili wakiwa na alama 97.
WAFUNGAJI BORA
Mohamed Salah (Liverpool/Misri)- Mabao 22
Sergio Aguero (Manchester City/Argentina)-Mabao 20)
Pierre-Emerick Aubameyang (Arsenal/Gabon)-Mabao 20
Sadio Mane (Liverpool/Gabon)-Mabao 20
Jamie Vardy (Leicester City/England)- Mabao 18
TIMU ZILIZOSHUKA
Cardiff-31
Fulham- 26
Huddersfield Town - Pointi 15
TIMU ZILIZOPANDA
Norwich City
Sheffield United
Ushindi Mkubwa nyumbani: Manchester City 6-0 Chelsea
Ushindi Mkubwa Ugenini: Brighton & Hove Albion 0-5 Liverpool
Idadi kubwa ya mabao kwenye mechi moja (8): Everton 2-6 Tottenham Hotspurs