Mchezaji wa rugbi afia hotelini Ufaransa

Muktasari:

Mchezaji rugbi Archie Bruce aliyekuwa akichezea Batley Bulldogs, amepatikana amefariki katika chumba cha hoteli.

Mchezaji wa rugbi, Archie Bruce amekutwa amekufa kwenye chumba cha hoteli asubuhi baada ya kumalizika kwa Mashindano ya Batley Bulldogs huko Toulouse, Ufaransa.

Klabu hiyo ilisema "inasikitika kutangaza kifo Archie Bruce, mwenye umri wa miaka 20.

Maswali yanakuwa mengi nchini Ufaransa na wachezaji wengine wamecheleweshwa kurudi makwao.

Mwenyekiti wa klabu hiyo Kevin Nicholas alisema: "Familia ya Bruce imeomba faragha wakati huu mgumu zaidi."

Alisema kuwa Batley Bulldogs, Ligi ya Mpira wa Miguu na mfuko wa ligi hiyo itakuwa karibu zaidi na kuisaidia familia yake.

Bruce, ambaye hapo awali alikuwa akiichezea klabu ya Amewur ya Dewsbury Moor huko West Yorkshire, alitokea benchi katika mechi ya Batley Bulldogs iliposhinda 46-0 huko Toulouse Jumamosi.

Batley ipo nafasi ya tisa katika mashindano ya timu 14, tarafa iliyo chini ya Super League.

Vigogo hadi nusu ya timu wameonekana kusikitshwa sana katika mitandao ya kijamii na vilabu vya ligi ya raga na wachezaji.

"Habari za kusikitisha sana kuamka, huruma zangu zinaenda kwa familia yake, marafiki na wachezaji wenzake huko Batley na Dewsbury Moor. RIP Archie," England na St Helens wameandika.

Toulouse walitoa rambirambi zao za dhati kwa familia yake, marafiki na klabu, na kuongeza: "Tutafanya kiwango chetu kuwaunga mkono."