PRIME Kikao cha Fadlu, Mo Dewji Dubai kuleta mashine hizi! MASHABIKI wa Simba bado wamepigwa na butwaa baada ya kuona sehemu ya mastaa waliosajiliwa msimu uliopita na kuiwezesha timu kufika fainali ya Kombe la Shirikisho wakipewa 'Thank You', lakini...
Gamondi ashikilia hatma ya Adebayor KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Miguel Angel Gamondi inaelezwa kushikilia hatma ya mshambuliaji wa kimataifa kutoka Niger, Victorien Adebayor, ambaye msimu uliopita hakuonyesha makali zaidi...
PRIME Bonaventure Kalou ataja nondo tatu za Ecua KAKA wa nyota wa zamani wa Chelsea na Ivory Coast, Salomon Kalou, aitwaye Bonaventure Kalou, ameweka wazi sifa tatu zinazomtofautisha kiungo mpya anayetajwa kujiunga na Yanga SC, Celestin...
Eliuter Mpepo atajwa Mbeya City WINGA Eliuter Mpepo huenda akaendelea kusalia kwenye ramani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuhusishwa na mipango ya kujiunga na kikosi cha Mbeya City, ambacho kimepanda daraja msimu huu.
PRIME Ayoub Lakred avunja ukimya SIKU chache tangu amalizane na Simba, kipa Ayoub Lakred aliyetua FUS Rabat ya Morocco, amevunja ukimya kwa kufichua kuwa, licha ya kuondoka Msimbazi, lakini klabu hiyo itaendelea kuwa moyoni...
AYE kupeleka vijana Marekani kupitia ufadhili wa masomo KATIKA hatua ya kuibua na kukuza vipaji vya vijana wa Kitanzania, taasisi ya African Youth Empowerment (AYE) imetangaza kuanza rasmi mpango wa kutoa ufadhili wa masomo (scholarship) kwa vijana...
PRIME Vifaa vilivyo katika rada za Simba, Yanga MSIMU wa Ligi ya Bara ulifungwa juzi kwa mechi ya marudiano ya mtoano kati ya Fountain Gate ya Ligi Kuu na Stnd United ya Championship zilizovaana mjini Babati, Manyara.
PRIME Simba ni Misri au Uturuki MABOSI wa Simba SC kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo wameanza mikakati ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26, ambapo imefahamika kuwa kambi imependekezwa tena kufanyika nje ya...
Beki Coastal Union amtaja Pacome BEKI wa kati wa Coastal Union na timu ya Taifa ya Zanzibar, Abdallah Denis ‘Vivaa’, ametamka wazi kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ndiye mchezaji hatari zaidi kwa sasa Ligi Kuu...
PRIME Kocha Simba aionya Yanga mapema KLABU ya Simba imekuwa gumzo barani Afrika katika msimu wa 2024/25, si kwa sababu tu ya kufika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, bali kwa namna ilivyoweza kusimama imara licha ya kuwa na...