Yao Kouassi apewa mchongo mpya BAADA ya kupata majeraha ya nyama za nyuma ya paja, beki wa kushoto wa Yanga Kouassi Attohoula Yao amepewa akili nini anatakiwa kufanya ili arejee uwanjani mapema. Yao ambaye aliumia nyama za...
Kiungo Al Ahly afanyiwa upasuaji wa bega WAKATI kiungo Alou Dieng akirejea tena uwanjani baada ya kuwa nje kwa majeruhi na kukosa mechi sita, kiungo mwingine wa Al Ahly, Emam Ashour aliyeumia juzi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa...
Job na uhalisia wa soka la rafiki zetu Brazil Dickson Job kwa sasa ndiyo habari ya mjini. Kisa, hajaitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichosafiri hadi Azerbaijan kwa ajili ya mechi za kirafiki za kalenda ya Fifa kwa...
Aliyemvaa Chama, kuongoza msafara Ahly Zikiwa zimebakia siku kadhaa kabla ya mechi ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na Al Ahly Misri, ambao mabosi wa timu hiyo wamemteua kiungo wa zamani Hussam Ghaly aliye...
Job na uhalisia wa soka la rafiki zetu Brazil Dickson Job kwa sasa ndiyo habari ya mjini. Kisa, hajaitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichosafiri hadi Azerbaijan kwa ajili ya mechi za kirafiki za kalenda ya Fifa kwa...
Yanga yamweka matatani kocha Mamelodi WAKATI mechi ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kati ya Yanga na Mamelodi Sundowns inakaribia kuchezwa, huko Mamelodi kimenuka. Ni hivi, kocha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Hugo Broos...
Yanga yamgombanisha kocha Mamelodi WAKATI mechi ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga na Mamelodi Sundowns ikibakiza takriban siku tisa kuchezwa, huko Mamelodi kimenuka. Ni hivi! Kocha mkuu wa timu ya taifa ya...
Ben White akataa kuitwa kwenye kikosi cha England Kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate amesema beki wa Arsenal, Ben White hajajumuishwa kwenye kikosi cha wachezaji 25 kitakachoingia kambini kwa ajili ya mechi za kirafiki za...
Wydad huu ni mwaka wao dume NI mwaka wa taabu. Ndio, inashangaza. Wydad Casablanca ya sasa sio ile. Inapitia magumu nje na ndani ya uwanja. Kwenye msimamo wa Ligi Kuu Morocco, Botola Pro 1, inakamata nafasi ya tano ikiwa na...
Yanga, Simba zapewa mchongo kufuzu nusu fainali CAF WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Damas Ndumbaro amesema Serikali itakutana na Shirikisho la Soka nchini na klabu za Simba na Yanga ili kuona inatoa mchango gani kuhakikisha timu hizo...