Search

857 results for Saddam Sadick :

  1. Mcameroon wa Prisons ana mtihani mzito

    PAMOJA na kufanya vizuri kwenye mazoezi ya timu, lakini straika wa Tanzania Prisons, Roland Messi, raia wa Cameroon ameendelea kusugua benchi ilhali tangu atue kocha Ahmad Ally hajaonja dakika...

  2. Shoji amejipata, asubiri simu ziite

    BAADA ya kukosekana uwanjani kwa takribani misimu miwili, straika wa zamani wa Dodoma Jiji, Jimmy Shoji amerejea upya huku akisema yupo tayari kukiwasha popote msimu ujao. Nyota huyo aliyewahi...

    New Content Item (1)
  3. TZ Prisons na utimamu wa mwili

    WAKATI Tanzania Prisons ikiendelea kujifua kwa ajili ya mwendelezo wa Ligi Kuu, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Ahmad Ally amesema kwa sasa anapambana utimamu wa mwili kwa nyota wake baada ya kurejea...

    New Content Item (1)
  4. 5G za Yanga SC zaitisha timu Ligi Kuu

    DODOMA Jiji inaendelea kujifua kujiandaa na mechi ya hatua ya 16 Bora za Kombe la Shirikisho (ASFC) dhidi ya Yanga, huku benchi la ufundi likiwakomalia mabeki ili kuepuka aibu ya kupigwa 5-0 kama...

  5. JIWE LA SIKU: Sababu vifo vya ghafla kwa wachezaji uwanjani

    IDADI ya vifo kwa wachezaji kufia uwanjani inazidi kuongezeka nchini huku wadau na wataalamu wa afya wakielezea sababu na namna ya kuepukana na matukio hayo ili kulinda afya zao. Kwa miaka 10 ya...

  6. Kipa Ihefu akubali yaishe, amsikilizia Maxime

    ALIYEKUWA kipa namba moja wa Ihefu FC, Fikirini Bakari amekubali upinzani alioupata dhidi ya mwenzake kikosini, Khomein Aboubakari aliyesajiliwa dirisha dogo kutoka Geita Gold akisema analazimika...

  7. Kilichomuua aliyefia uwanjani chatajwa

    JUZI vilio na simanzi vilitawala katika kijiji cha Shiwinga wilayani Mbozi mkoani Songwe wakati wa mazishi ya mchezaji yaliyofanyika jana, Belle Mgala aliyefia uwanjani, huku chanzo...

  8. Mmoja afariki, wengine wajeruhiwa ajali za Simba na Yanga

    MASHABIKI wa klabu za soka za Simba na Yanga, wamepata ajali katika maeneo tofauti alfajiri ya leo na taarifa za kipolisi zimethibitisha mtu mmoja amefariki dunia na wengine kadhaa...

  9. Mchezaji mwingine afariki dunia uwanjani

    “Ulipigwa mpira wa juu sasa ile anaruka, beki wa Super Eagle akamkingia mgongo ndio akadondoka na kupoteza fahamu, tulipompeleka kituo cha Afya Isense wakasema tumpeleke Mbozi Mission ambako...

  10. Simba, Yanga zapewa mchongo CAF

    WAKATI Simba na Yanga zikiendelea kuchora ramani ya kuwamaliza wapinzani wao kwenye michezo ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika, nyota wa zamani wa timu hizo, Willy Martin ‘Garikubwa’ amewapa...

Previous

Page 2 of 86

Next