TUONGEE KISHKAJI: Filamu hazihitaji uhalisia, zinahitaji kuaminika
WASHIKAJI wanasema Filamu za Bongo hazina uhalisia, kisha wanaanza kusimuliana kuhusu muvi za Rambo, jamaa ambaye yuko pekee yake kwenye uwanja wa vita, anapambana na waveti zaidi ya mia moja na...