Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

129 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Kwa nini mabasi ya timu hupata ajali?

    FEBRUARI 10, mwaka huu, medani ya soka ilipata mshtuko baada ya Dodoma Jiji kupata ajali barabarani ikitokea Lindi ilikoenda kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wake, Namungo na...

  2. SPOTI DOKTA: Shabiki jikinge na kiribatumbo

    KATIKA Ligi Kuu Bara kwenye mechi za wiki hii ilishuhudia Yanga na JKT Tanzania zikitoka 0-0. Na juzi Jumanne, Simba nayo ilicheza ikifanikiwa kuibamiza Tanzania Prisons mabao 3-0 na kukaa...

  3. Mchezaji anahitaji kuwa na vitu hivi

    JUMAPILI ilikuwa burudani kwa wapenzi wa soka waliposhuhudia mechi kali ya Ligi Kuu England wakati Arsenal ikiifunga Manchester City mabao 5-1.

  4. SPOTI DOKTA: Madhara kucheza kandanda na maumivu iko hivi

    KATIKA mapito ya mwanasoka kuna nyakati za furaha na nyakati ngumu. Moja ya nyakati ngumu ni pale mchezaji anapopata majeraha yanayoambatana maumivu na huku anahitajika na timu.

  5. SPOTI DOKTA:Talaka ilivyomuumiza kihisia Pep Guardiola

    MANCHESTER City msimu huu imekuwa ikipitia wakati mgumu kutokana kufanya vibaya katika mechi za awali za Ligi Kuu England (EPL) na Ligi ya Mabingwa Ulaya.

  6. SPOTI DOKTA: Wanasoka kujifua ufukweni iko hivi

    JIONI na usiku wa Jumapili mambo yalikuwa mazuri sana kwa wadau wa soka ndani na nje ya Tanzania. Timu ya Simba ilipata sare ya 1-1 katika mechi yake dhidi ya Bravos Do Maquis na kufuzu robo...

    Dokta Pict
  7. SPOTI DOKTA: Kimbia, fanya mazoezi ya viungo

    WIKI iliyopita tuliukaribisha mwaka 2025 kwa kusisitiza kuwekeza katika zoezi la ukimbiaji ili kujenga mwili wenye afya njema

  8. 2025 wekeza katika ukimbiaji

    HERI ya Mwaka Mpya 2025 wasomaji wote wa gazeti la Mwanaspoti katika kona ya Mwanaspoti Dokta. Leo jicho la kitabibu linakupa ufahamu kuhusu uwekezaji katika ukimbiaji ili kujenga afya.

  9. SPOTI DOKTA: Sababu nchi za Afrika Mashariki na Kati kutawala riadha

    WAKATI wa Olimpiki mwaka 2008, 2012 na 2016, wanariadha kutoka Afrika Mashariki kutoka Kenya na Ethiopia, walishinda theluthi mbili ya medali zote za dhahabu katika mashindano ya masafa ya kati...

  10. SPOTI DIKTA: Pep Guardiola kujijeruhi usoni iko hivi

    KABLA ya kufikia mwanzoni mwa wiki hii klabu ya Manchester City ya nchini England ilikuwa na hali ya kimfanano na klabu ya hapa nchini Yanga kwa timu hizo kupata matokeo mabaya mfululizo katika...

    Dokta Pict
Previous

Page 2 of 13

Next