Cheki Luka Modric alivyobeba tuzo yake
Muktasari:
- Kiungo Luka Modric amechaguliwa kuwa Mchezajhi Bora wa Fifa wa Dunia kwa mwaka 2018, ushindi huo unamaliza zama za kina Ronaldo na Messi.
- Modric pia alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa fainali za Kombe la Dunia mwaka huu.
KIUNGO, Luka Modric amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Fifa wa Dunia kwa mwaka 2018, akiwabwaga Cristiano Ronaldo na Mohamed Salah kwenye kinyang’anyiro hicho.
Ushindi wa Modric unamaliza zama za utawala wa masupastaa wawili, Ronaldo na Lionel Messi, ambao walikuwa wakigawana tuzo hiyo kwa miaka 10 mfululizo, kila mmoja akishinda mara tano.
Wakati Modric, ambaye pia alichaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa fainali za Kombe la Dunia 2018 na Mchezaji Bora wa UIaya kwa mwaka huu akishangilia ushindi wake huo wa kuwa bora duniani alipokabidhiwa tuzo yake katika sherehe zilizofanyika Jumatatu, hivi ndivyo baadhi ya kura zilivyopigwa zikiwahusisha manahodha na makocha wa timu za taifa.
Lionel Messi- nahodha Argentina
1. Luka Modric
2. Kylian Mbappe
3. Cristiano Ronaldo
Luka Modric- nahodha Croatia
1. Raphael Varane
2. Cristiano Ronaldo
3. Antoine Griezmann
Cristiano Ronaldo- nahodha Ureno
1. Raphael Varane
2. Luka Modric
3. Antoine Griezmann
Harry Kane- nahodha England
1. Cristiano Ronaldo
2. Lionel Messi
3. Kevin De Bruyne
Didier Deschamps-kocha Ufaransa
1. Antoine Griezmann
2. Raphael Varane
3. Kylian Mbappe
Gareth Southgate- kocha England
1. Luka Modric
2. Raphael Varane
3. Eden Hazard
Sergio Ramos- nahodha Hispania
1. Luka Modric
2. Cristiano Ronaldo
3. Lionel Messi
Eden Hazard- nahodha Ubelgiji
1. Luka Modric
2. Raphael Varane
3. Kylian Mbappe
Zlatko Dalic- kocha Croatia
1. Luka Modric
2. Lionel Messi
3. Cristiano Ronaldo
Roberto Martinez- kocha Ubelgiji
1. Luka Modric
2. Raphael Varane
3. Lionel Messi
Tite- kocha Brazil
1. Luka Modric
2. Mohamed Salah
3. Cristiano Ronaldo
Luis Enrique- kocha Hispania
1. Lionel Messi
2. Luka Modric
3. Mohamed Salah
Miranda- nahodha Brazil
1. Cristiano Ronaldo
2. Kylian Mbappe
3. Lionel Messi
Hugo Lloris - nahodha Ufaransa
1. Raphael Varane
2. Antoine Griezmann
3. Kylian Mbappe
Manuel Neuer- nahodha Ujerumani
1. Eden Hazard
2. Luka Modric
3. Raphael Varane
Virgil Van Dijk- nahodha Uholanzi
1. Mohamed Salah
2. Kevin De Bruyne
3. Kylian Mbappe
Robert Lewandowski- nahodha Poland
1. Luka Modric
2. Raphael Varane
3. Kylian Mbappe
Diego Godin- nahodha Uruguay
1. Antoine Griezmann
2. Mohamed Salah
3. Luka Modric
Joachim Low- kocha Ujerumani
1. Luka Modric
2. Kylian Mbappe
3. Eden Hazard
Oscar Tabarez- kocha Uruguay
1. Antoine Griezmann
2. Eden Hazard
3. Lionel Messi
Andres Guardado- nahodha Mexico
1. Luka Modric
2. Lionel Messi
3. Antoine Griezmann
Fernando Santos- kocha Ureno
1. Cristiano Ronaldo
2. Luka Modric
3. Eden Hazard
Roberto Mancini- kocha Italia
1. Cristiano Ronaldo
2. Kylian Mbappe
3. Luka Modric
Giorgio Chiellini- nahodha Italia
1. Cristiano Ronaldo
2. Luka Modric
3. Mohamed Salah.