IMBA NA MWANASPOTI: Wimbo wa ‘Nadekezwa’ mistari imeshiba!

Wimbo: Nadekezwa

Msanii: Mbosso

Hho hho hho hho.. Oohh

Hho hho hho hho

 

Salamu ulizo nitumia ahh

Nimezipokea ahh

Nipo salama hata usijali.

Nalishwa vitamu

Vinono najilia ahh

Biriani ya ngamia ahh

Penzi wakalidana po kidali

 

Nimekusahau, nakumbuka tu lako Nina aah

Kidogo angalau,ungeng’oa mizizi sio kukata shina

 

Penzi wakapanda dau

Mjini baba pesa fitina

Mimi ukanidharau visenti haba mfuko umechina

 

Na ndio uwezo wangu ulipoishia-ningekupa nini tena

Kula yangu ya kupapasia-hukumeza ukatema

Mi sina gariiii-ningekupa nini tena

Oohhhhh-hukumeza ukatema (heeeeee…hee)

 

Nadeke nadekezwa X8

 

Ndani ya mashamsham mtoto ‘kanikabili (oooh)

…….. Kumi na mbili alfajiri

Na nisha mvesha nyota cheo chake kikubwa cha mapenzi,

Kan’jaza kan’chota kan’shika pabaya!

 

Nakutaadharisha,

Simu za usiku punguza,

Unahatarisha penzi langu

Moto punguza

 

Nishakusahau,

Nakumbuka tu lako Nina

Kodogo angalau

Ungeng’oa mizizi sio kukata shina

 

Penzi wakapanda day,

Mjini baba pesa fitina

Mimi ukanidharau

Visenti baba mfuko umechina

 

Na ndio uwezo wangu uliposishia-ningekupa nini tena

Kula yangu ya kipapasia-hukumeza ukatema

Mi sina gariiii- ningekupa nini tena

Oooh-hukumeza ukatema (yeeeeeeh)

 

Nadeke nadekezwax 8