Mashairi ya wimbo wa Aslay ‘wife’
Wife wee, wife material
Kipenda roho Chekecha, weka kwa chujio Maneno yao
Waambie umeshikwa umedata na mimi ooh
Mtoto show Uwavunje mifupa tuwakate vilimi ooh
Waumie roho
Nitakonda ahaa
Ukiniacha mbele za watu ahaa
Shoka ahaa
Usifiche mapenzi chini ya kiatu ahaa
Usipunguze ongeza
Paka vuna teleza
We pekee unnaniweza
Niongeze mchuzi wa pweza, ninywee
Baby ooh baby, baby ooh baby
Ubavu wangu wa pembeni
Chokochoko, laka laka chokochoko
Kidume mashine,
Chokochoko, laka laka chokochoko
Matam tam tam
Chokochoko, na sihongi mpaka boko
Maruani au masumbi hunny
Yakikupandaga kichwani
Vurugu tupu kitandani
Ooh gaga
Mtoto show, rangi ya jogoo
Mi ndo shiza kichura kwenye mechi
Tukikutana lazima nishinde goal
Mmmh nakupenda ukipitisha ulimi kwenye masikio
Ukinipapasa kifuani nakupa vyeo
Napo chumba tukicheza kwa pwaru we ni kilio
Ukinipa macho vinatokaga vinyweleo, mwilini
Nitakonda ahaa
Ukiniacha mbele za watu ahaa
Shoka ahaa
Usifiche mapenzi chini ya kiatu ahaa
Usipunguze ongeza
Paka vuna teleza
We pekee unnaniweza
Niongeze mchuzi wa pweza, ninywee
Baby ooh baby, baby ooh baby
Ubavu wangu wa pembeni
Chokochoko, laka laka chokochoko
Kidume mashine,
Chokochoko, laka laka chokochoko
Matam tam tam
Chokochoko, na sihongi mpaka boko
Only you, baby only you
Utafanya nikuroge nishike kipalizi
Only you, baby only you
Utafanya nikuroge nishike kipalizi
NB: Umeombwa na Ayoub, Kihonda umfikie mchumba'ake Irene.
Je, unataka utwangiwe mistari ya songi lolote? Usisitie tuma ombi katika 0773-732271 au email; [email protected]. Pia usikose kijarida cha JIACHIE ndani ya Mwanaspoti kila Ijumaa!