MCL Mwananchi TheCitizen Nation Monitor TheCitizen epaper Email  
Mwanaspoti Soka Burudani Kolamu Spoti Majuu    
Feb 7, 2012, 2:03 am Upo Nyumbani            
Habari zilizowekwa hivi punde:: Fifa yaibeba Yanga
HABARI KUBWA
 
Fifa yaibeba Yanga
 
 
Okwi, Uhuru wataka rungu Simba
WASHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Okwi na Uhuru Selemani wameomba kucheza pamoja katika kikosi cha timu hiyo.
Cheka: Sioni kama Snake Boy
BONDIA namba moja kwa ubora Tanzania, Francis 'SMG' Cheka ameangalia uwezo wa mabondia wa kulipwa hapa nchini na kusema Rashid 'Snake Boy' Matumla pekee ndiye anaweza kumpa homa ulingoni, zaidi ya hapo hakuna mwingine.
Simba, JKT Oljoro mambo yale yale
SIMBA na JKT Oljoro kulikoni, maana mambo ni yale yale! Mechi zote mbili za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizokutanisha timu hizo mbili zimemalizika kwa matukio yanayofanana msimu huu
Mastraika Yanga wamficha Tegete
PRESHA za mastraika wa Yanga, imemficha Jerry Tegete ambaye ameshindwa kumiliki namba ya kudumu kwenye kikosi hicho msimu huu na hayumo miongoni mwa wachezaji 35 waliofunga mabao mawili au zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara mpaka sasa.
Maoni ya Mhariri
Usalama wa Yanga upewe kipaumbele
  MEDANI ya soka kwa sasa imetawaliwa na habari za vifo vya mashabiki 74 vilivyotokea Misri katika vurugu zilizozuka kwenye mechi kati ya Al Ahly na Al-Masry za huko.
Maoni ya wasomaji
GAZETI LENU MTANDAONI
Fifa yaibeba yanga
Vijimanbo
Habari
Kero
Tuma Maoni || Maoni zaidi
Busara za wakereketwa wa michezo
Hivi tumewaandaa mbadala wa Twiga Stars?
Simba iwekeze Sh30 milioni kwa Jonas
Papic anaweza kujifunga kabla ya mechi
Arsene Wenge acha kuwatosa wakongwe
Habari zingine
Coastal Kings wanyukwa 1-0
TIMU ya vijana wasiozidi miaka 12 ya Mikadini Youth iliwakata kilimilimi majirani zao wa Coastal Kings kwa kuwafunga bao 1-0 kwenye mechi ya kujipima nguvu iliyofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Bomu.
Bao hilo pekee lilifungwa na Seif Salim.
Ivo Mapunda alamba Sh3.7 milioni za usajili
MTANZANIA aliyekuwa anaidakia Bandari FC, Ivo Mapunda ni miongoni mwa wachezaji waliosajiliwa kwa kiasi kikubwa katika kipindi hiki cha usajili wa wachezaji wa Ligi Kuu Kenya msimu huu.
Paco achekelea kutua Rwanda
BEKI matata wa AFC Leopards, Jonas Nahimana Paco, amejiunga na kikosi cha timu ya Rwanda kitakachojipima nguvu na Congo Brazaville, leo Jumamosi.
AFC Leopards yanoa majeshi yake Mumias
AFC Leopards imepiga kambi yake mjini Mumias katika Kaunti ya Kakamega, ikijiandaa kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya KPL.
Gor yajaribu makucha kwa El Mereikh
MAGWIJI wa soka nchini, Gor Mahia, wanaohaha kurejesha ubabe wao, leo Jumamosi wana kibarua cha kujaribu makucha watakayoyatumia katika mashindano ya Afrika kwa kuvaana na El Mereikh ya Sudan.
Kenya inavyojipanga kuitoa Nigeria fainali za wasichana
TIMU ya taifa ya soka ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 17, Jumamosi ijayo itakuwa na kibarua kigumu cha kuishinda Nigeria kwenye mechi ya marudiano ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia.
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2012:Started October 1,2007