|
| Maoni ya Mhariri |
|
| Maoni ya wasomaji |
|
| Busara za wakereketwa wa michezo |
|
| Habari zingine |
|
SVEN-Goran Eriksson ametaka kuitishwa kwa kongamano la wanasoka na makocha kujadili mpira wenye utata wa Kombe la Dunia na kushauri Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) isikilize maoni yao. |
|
SI Tanzania tu ambako kuna makomandoo wanaouuza tiketi za magendo za kuingilia uwanjani, hata Sauzi wapo. |
MAMBO manne yalijitokeza juzi Jumanne
usiku wakati Brazil ilipoifunga Korea
Kaskazini mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Ellis
Park jijini hapa, lakini mashabiki wakaukimbia
uwanja baada ya dakika 75. |
JESHI la Polisi limeongeza ulinzi katika
viwanja vinne ambako kunafanyika mechi za
Kombe la Dunia kutokana na walinzi
waliokuwa wamewekwa kwa kazi hiyo
kugoma. |
|
FANYENI kama mama yenu alivyokuwa akiwaambia kila mara, makocha wa Ujerumani wamekuwa wakiwaambia wachezaji wakati wakijiandaa kuhakikisha kuwa baridi haiwaathiri katika mechi yao ya kesho Ijumaa dhidi ya Serbia. |
|
KIUNGO wa Ghana, Laryea Kingston amemuomba radhi Naibu Waziri wa Michezo, Nii Nortey Dua kutokana na kauli zilizotolewa na mama yake (Laryea). |
|
|
|
|
 |