Feb 7, 2012, 2:03 am TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 

 

 

Mwanaspoti Majuu
Botswana wafurahia uzoefu
WINGA wa timu ya Taifa ya Botswana na timu ya Bloemfontein Celtic ya Afrika Kusini, Phenyo Mongala amesema walishindwa kuingia hatu ya robo fainali ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika, lakini wamepata uzoefu mkubwa.
Abdalla: timu yangu ilifanya vizuri
KOCHA wa Sudan, Mohamed Abdalla anaamini kwamba timu yake ilifanya vizuri katika Fainali za kuwania Ubingwa wa kombe la Mataifa ya Afrika na kufanikiwa kuingia hatua ya robo fainali kabla hawajafungwa na Zambia 3-0 katika hatua hiyo.
Katongo apandishwa cheo jeshini
RAISI wa Zambia, Michael Sata amempandisha cheo nahodha wa Zambia, Christopher Katongo baada ya mchezaji huyo kuonyesha umahiri wa hali ya juu wa kucheza soka katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zinazoendelea.
Ivory Coast, Zambia zatinga nusu fainali
IVORY Coast na Zambia zote zimeingia hatua ya nusu fainali ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kushinda mabao 3-0 kila mmoja katika mechi za hatua ya robo fainali.
Kocha Bayern atetea
KOCHA wa Bayern Munich, Jupp Heynckes amekataa kushutumu mabeki wake kuwa ndio sababu ya timu hiyo kutoka sare 1-1 na Hamburg na kupoteza usukani wa Ligi ya Ujerumani.
Man City yapeta
VINARA Manchester City walijikusanyia pointi tatu muhimu baada ya kuichapa Fulham 3-0 kwenye Uwanja wa Etihad.
Dalglish amtegemea Suarez
KOCHA wa Liverpool, Kenny Dalglish anategemea kurudi kwa mshambuliaji wake Luis Suarez kutaongeza nguvu leo dhidi ya Tottenham.
Barca yainyatia Real kiana
BARCELONA imerudu kwenye mbio za kuwafukuza vinara wa La Liga, Real Madrid wakati Lionel Messi alipowaongoza wachezaji chipukizi wa timu B kushinda 2-1 dhidi ya Real Sociedad.
Fifa yaitadhalisha Misri 'siasa kuingia soka'
RAIS wa Fifa, Sepp Blatter amepiga kitendo cha siasa kuingia masuala ya mpira ya Misri, kutokana na vurugu za mashabiki wiki iliyopita.
Mali yafurahia robo fainali
MALI imeungana na Ghana kuingia hatua ya robo fainali ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mechi ngumu dhidi ya Mali.
Hizi habari zimetafsiriwa kutoka vyanzo mbalimbali mtandaoni.Picha Shirika la habari la AFP, Reuters na Xhiua
Advert Space
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2012:Started October 1,2007