| David Beckham |
|
NYOTA wa AC Milan, David Beckham anasubiri kupata wakati mgumu kwa mara nyingine wakati timu yake itakapocheza na Manchester United katika mechi ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya 16 bora. |
| Terry: Skendo hainipunguzi kasi |
|
NAHODHA wa Chelsea, John Terry amesema kwa sasa anacheza vizuri zaidi licha ya kuwepo kwa shutuma kuwa amekuwa akifanya makosa ya kizembe. |
| Pamela Anderson jukwaani |
|
MWANAMITINDO Pamela Anderson amejiunga na kundi la 'Dancing with the Stars' ili kujifunza kucheza muziki. |
| Young Joc na wake wawili |
|
KATIKA hali ya kushangaza, mwanamuziki wa miondoko ya hip hop, Young Joc ameamua kumtambulisha mpenzi wake kwa mkewe. |
| Naomi matatani polisi |
|
MWANAMITINDO, Naomi Campbell huenda akaingia katika vita na polisi baada ya kudaiwa kumfanyia fujo dereva wake, jijini New York. |
| Amy Winehouse afumwa |
|
KATIKA hali ya kushangaza mwanamuziki Amy Winehosue amefumwa akimbusu mdomoni mume wake wa zamani, Blake Fielder Civil. |
| Jela yampa kiwewe Lil Wayne |
|
MWANAMUZIKI Lil Wayne, ametengeneza video nane kwa kipindi cha mwezi mmoja huku akisubiri kusikiliza hukumu yake, na inakadiriwa huenda akafungwa kwa mwaka mmoja jela. |
| Rihanna hamtishi Katy Perry |
|
MWANAMUZIKI Katy Parry amesema licha ya kuwa kuna upinzani katika muziki, amejitofautisha na wenzake. |
| Terry katika vita Bellamy |
|
JOHN Terry amemjibu Criag Bellamy baada ya mchezaji huyo kumvamia kwa maneno ya kashfa wikiendi iliyopita. |
| Defoe awa mhubiri, aonya wachezaji |
|
MPACHIKA mabao wa Tottenham, Jermain Defoe amewataka wanasoka watulie na kuacha kufanya mambo ya ajabu, ambayo yanawavunjia heshima. |