Mar 10, 2010, 2:37 pm TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 
 

 

 

Mwanaspoti Majuu
David Beckham
NYOTA wa AC Milan, David Beckham anasubiri kupata wakati mgumu kwa mara nyingine wakati timu yake itakapocheza na Manchester United katika mechi ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya 16 bora.
Terry: Skendo hainipunguzi kasi
NAHODHA wa Chelsea, John Terry amesema kwa sasa anacheza vizuri zaidi licha ya kuwepo kwa shutuma kuwa amekuwa akifanya makosa ya kizembe.
Pamela Anderson jukwaani
MWANAMITINDO Pamela Anderson amejiunga na kundi la 'Dancing with the Stars' ili kujifunza kucheza muziki.
Young Joc na wake wawili
KATIKA hali ya kushangaza, mwanamuziki wa miondoko ya hip hop, Young Joc ameamua kumtambulisha mpenzi wake kwa mkewe.
Naomi matatani polisi
MWANAMITINDO, Naomi Campbell huenda akaingia katika vita na polisi baada ya kudaiwa kumfanyia fujo dereva wake, jijini New York.
Amy Winehouse afumwa
KATIKA hali ya kushangaza mwanamuziki Amy Winehosue amefumwa akimbusu mdomoni mume wake wa zamani, Blake Fielder Civil.
Jela yampa kiwewe Lil Wayne
MWANAMUZIKI Lil Wayne, ametengeneza video nane kwa kipindi cha mwezi mmoja huku akisubiri kusikiliza hukumu yake, na inakadiriwa huenda akafungwa kwa mwaka mmoja jela.
Rihanna hamtishi Katy Perry
MWANAMUZIKI Katy Parry amesema licha ya kuwa kuna upinzani katika muziki, amejitofautisha na wenzake.
Terry katika vita Bellamy
JOHN Terry amemjibu Criag Bellamy baada ya mchezaji huyo kumvamia kwa maneno ya kashfa wikiendi iliyopita.
Defoe awa mhubiri, aonya wachezaji
MPACHIKA mabao wa Tottenham, Jermain Defoe amewataka wanasoka watulie na kuacha kufanya mambo ya ajabu, ambayo yanawavunjia heshima.
Hizi habari zimetafsiriwa kutoka vyanzo mbalimbali mtandaoni
Advert Space
 
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2010:Started October 1,2008