Gadner afariki dunia, wasanii wamlilia MTANGAZAJI maarufu wa kituo cha Clouds FM, Gadner G. Habash amefariki dunia leo saa 11:00 asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa...
Jumamosi yaibeba Yanga Kariakoo Dabi MASHABIKI wa Yanga na Simba tayari viroho vimeanza kuwadunda, wakati wakiendelea kuhesabu siku kabla ya timu zao kushuka katika pambano la Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii ya Aprili 20...