Gadner afariki dunia, wasanii wamlilia MTANGAZAJI maarufu wa kituo cha Clouds FM, Gadner G. Habash amefariki dunia leo saa 11:00 asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa...
Yanga yagomea chumba cha kubadilishia nguo Kwa Mkapa Muda mfupi baada ya Yanga kuwasili katika Uwanja wa Mkapa, wamelazimika kugomea kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Maofisa wa Yanga waliotangulia kukagua chumba hicho walionekana...