Aussems awatuliza mashabiki Simba
Muktasari:
- Hii ni baada ya kombinesheni ya kuwachezesha mastraika watatu, John Bocco 'Adebayor', Mnyarwanda Meddie Kagere na Emmanuel Okwi raia wa Uganda kwa pamoja katika mechi hiyo na Ndanda kukosa mabao.
Hii ni baada ya kombinesheni ya kuwachezesha mastraika watatu, John Bocco 'Adebayor', Mnyarwanda Meddie Kagere na Emmanuel Okwi raia wa Uganda kwa pamoja katika mechi hiyo na Ndanda kukosa
mabao.
mewaambia mashabiki wa kikosi hicho wasahau kilichotokea Mtwara na watafurahi tu katika mechi zijazo.
Aussems ambaye baada ya kikosi chake kulazimishwa suluhu na Ndanda FC mkoani Mtwara, ameandaa mbinu matata kwa mastraika wake ili kuona wanapata mabao katika michezo hiyo.
Hii ni baada ya kombinesheni ya kuwachezesha mastraika watatu, John Bocco 'Adebayor', Mnyarwanda Meddie Kagere na Emmanuel Okwi raia wa Uganda kwa pamoja katika mechi hiyo na Ndanda kukosa
mabao.
Amesema, anakwenda kuiboresha kwa mara nyingine na ikishindikana, atatumia mastraika wawili. "Inawezekana kitendo cha kucheza matraika watatu kwa wakati mmoja hawajaelewana lakini nalifanyia kazi katika kipindi cha maandalizi ya mechi ijayo na ikishindikana nitatumia nyingine,"alisema Aussems.