Sep 5, 2010, 12:00 pm TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 
 

 

Imewekwa:: 2010-05-29 12:05:00
Venus atikisa kwa mavazi
Venus Williams
Venus atikisa kwa mavazi
MAVAZI ya Venus Williams katika michuano ya wazi ya Ufaransa ndio yamekuwa yakivutia watazamaji zaidi kuliko uchezaji wake.

Katika michuano hiyo inayoendelea, Venus amekuwa akivaa nguo zinazoonyesha mwili wake kwa kiasi kikubwa na mara nyingi waandishi wa habari wamekuwa wakimuuliza kuhusu nguo badala ya mbinu zake za ushindi.

Dada huyo amekuwa akivaa nguo zinazofanaa na mwili wake na hivyo kuonekana kama vile mtupu.

Msemaji wa michuano hiyo, Christophe Proust alisema: "Nguo zake zinafanana na mwili lakini hayupo uchi, sijapata malalamiko yoyote."
Toa Maoni Chapisha(Print) Facebook Tuma kwa rafiki
Habari Zingine
Wabongo wamrudisha Mariga Dar
Rage aidai Mwanaspoti Sh. bilioni moja
Jabulani kumi zaisisimua Simba
Kipa Yanga aingilia anga za Kaseja
Mafowadi 11 watibuana Mtibwa Sugar
Taswa wajadiliana na Mkurugenzi wa Michezo
Mafisango aguna, aipa tano Azam
Mwingereza aanza kazi Zanzibar
Simba yaipeleka Yanga Kirumba
Poulsen ampiga tafu Phiri Simba
 
 
 
 
 
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2010:Started October 1,2007http://www.mwanaspoti.co.tz/readnewzt_sp.php?id=4133