Sep 9, 2010, 9:08 am TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 
 

 

Imewekwa:: 2010-02-01 19:21:00
Mutu atetewa
MILAN, Italia

KOCHA wa Fiorentina, Andrea della Valle amesema klabu yeke imeshitushwa na taarifa kuwa Adrian Mutu amekuwa akitumia dawa za kuongeza nguvu.

Mchezaji huyo wa Romania alifanyiwa uchunguzi na kukutwa na skendo hiyo baada ya mechi dhidi ya Bari, Januari 10.

Kulikuwa na tetesi kuwa Mutu alikuwa akitumia dawa hizo katika mapumziko ya Krismasi na taarifa hizo zilionekana kuwa sahihi baada ya kupimwa.

Lakini Della alisema: "Ni habari mbaya zilizotushitua lakini Mutu hakuwa akitumia dawa za kuongeza nguvu bali alitumia dawa za kupunguza mwili."
Toa Maoni Chapisha(Print) Facebook Tuma kwa rafiki
Habari Zingine
Phiri hana shida, Mgosi, Kanoni waibukia Tanga
Mkenya aipa Simba mambo mawili
Henry arudi Norway majeruhi
Kiungo Yanga mambo mazuri
Mafisango atunisha msuli,aigunia Simba Tanga
Humoud azua tafrani Simba
Wabongo wamrudisha Mariga Dar
Rage aidai Mwanaspoti Sh. bilioni moja
Jabulani kumi zaisisimua Simba
Kipa Yanga aingilia anga za Kaseja
 
 
 
 
 
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2010:Started October 1,2007http://www.mwanaspoti.co.tz/readnewzt_sp.php?id=3484