Sep 9, 2010, 9:05 am TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 
 

 

Imewekwa:: 2010-02-01 19:17:00
Adriano apiga tatu
RIO DE JANEIRO, Brazil
MSHAMBULIAJI wa Brazil, Adriano alifunga mabao matatu 'hat-trick' kuiongoza Flamengo kushinda 5-3 dhidi ya Fluminense.

Baada ya kuongoza kwa mabao 3-1 kwenye kipindi cha kwanza huku beki Alvaro akiwa ametolewa kwa kadi nyekundu dakika 63, Flamengo iliendelea kutawala mchezo huo kwenye uwanja wa Maracana huku washambuliaji wake Adriano na Vagner Love wakionyesha kiwango cha kuvutia.

"Tunacheza kwa kusaidiana, wote tuna malengo yanayofanana kupata nafasi ya kucheza Kombe la Dunia," alisema Adriano.

Fluminense ilipata mabao yake mawili mwanzoni kupitia kwa Andre na Dario Conca walionekana kuelewana vizuri bila ya kuwepo kwa mshambuliaji wao tegemeo Fred aliyekuwa majeruhi.
Toa Maoni Chapisha(Print) Facebook Tuma kwa rafiki
Habari Zingine
Phiri hana shida, Mgosi, Kanoni waibukia Tanga
Mkenya aipa Simba mambo mawili
Henry arudi Norway majeruhi
Kiungo Yanga mambo mazuri
Mafisango atunisha msuli,aigunia Simba Tanga
Humoud azua tafrani Simba
Wabongo wamrudisha Mariga Dar
Rage aidai Mwanaspoti Sh. bilioni moja
Jabulani kumi zaisisimua Simba
Kipa Yanga aingilia anga za Kaseja
 
 
 
 
 
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2010:Started October 1,2007http://www.mwanaspoti.co.tz/readnewzt_sp.php?id=3483