Sep 9, 2010, 9:36 am TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 
 

 

Imewekwa:: 2009-03-20 20:22:00
Ronaldo: Bayern ni gharika
LONDON, England
NYOTA wa Manchester United, Cristiano Ronaldo anaamini kwamba Bayern Munich ndio kikosi cha kukiogopa katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Mchezajii huyo anakihofia kikosi kinachonolewa na Jurgen Klinsmann kwa kuwa kiliifunga Sporting Lisbon mabao 12-1 katika mechi za awali.

Ronaldo amebainisha kwamba amekuwa akikichunguza kikosi hicho cha Ujerumani, ambacho kilifungwa na Manchester United mwaka 1999 na kufanikiwa kuingia hatua ya fainali.
Alisema: "Niliwachunguza Bayern walipocheza na Sporting, wanaonekana ni wenye nguvu nyingi.
Toa Maoni Chapisha(Print) Facebook Tuma kwa rafiki
Habari Zingine
Phiri hana shida, Mgosi, Kanoni waibukia Tanga
Mkenya aipa Simba mambo mawili
Henry arudi Norway majeruhi
Kiungo Yanga mambo mazuri
Mafisango atunisha msuli,aigunia Simba Tanga
Humoud azua tafrani Simba
Wabongo wamrudisha Mariga Dar
Rage aidai Mwanaspoti Sh. bilioni moja
Jabulani kumi zaisisimua Simba
Kipa Yanga aingilia anga za Kaseja
 
 
 
 
 
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2010:Started October 1,2007http://www.mwanaspoti.co.tz/readnewzt_sp.php?id=1388