Sep 9, 2010, 9:30 am TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 
 

 

Imewekwa:: 2009-03-20 20:09:00
Baba wa Beyonce afukuzwa kibarua
LOS ANGELES, Marekani
IMEFAHAMIKA kwamba baba wa Beyonce aitwaye Mathew Knowles ametimuliwa kazi ya umeneja wa mwanamuziki Lyfe Jennings.

Na badala yake Jennings amemsaka meneja mwingine aitwaye Manny Hailey, ambaye pia ni meneja wa Keyshia Cole.
Habari za uhakika zinasema kwamba Lyfe na Mathew walikorofishana katika mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na masuala ya kipato.

Mtu mmoja wa ndani alisema: "Kwa mara ya kwanza katika maisha yake, Lyfe amefanikiwa kupata meneja ambaye wanapatana."

Hivi karibuni Mathew pia alitimuliwa kazi na Kelly na imefahamika kwamba Michelle pia anataka kuachana na baba huyo wa Beyonce.
Toa Maoni Chapisha(Print) Facebook Tuma kwa rafiki
Habari Zingine
Phiri hana shida, Mgosi, Kanoni waibukia Tanga
Mkenya aipa Simba mambo mawili
Henry arudi Norway majeruhi
Kiungo Yanga mambo mazuri
Mafisango atunisha msuli,aigunia Simba Tanga
Humoud azua tafrani Simba
Wabongo wamrudisha Mariga Dar
Rage aidai Mwanaspoti Sh. bilioni moja
Jabulani kumi zaisisimua Simba
Kipa Yanga aingilia anga za Kaseja
 
 
 
 
 
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2010:Started October 1,2007http://www.mwanaspoti.co.tz/readnewzt_sp.php?id=1381