Mastaa Bongo waiteka shoo ya dabi MCHEZO wa 112 wa Watani wa Jadi, Yanga na Simba utachezwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam na umeteka hisia za mashabiki kila kona nchini hadi tasnia ya burudani.
Matola: Yanga ni bora ila msikariri! KOCHA Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola amesema hakuna mechi rahisi ya dabi wanawaheshimu wapinzani wao kutokana na kuwa bora lakini wao pia wamejiandaa kukabiliana nao. Matola amesema mchezo...