 |
|
 |
|
 |
| Vyama vyahaha kusaka makocha |
| BAADA ya kuondoka kwa makocha wa kigeni wa michezo ya Netiboli, Ngumi, Riadha na Judo umevifanya vyama vya michezo hiyo kuanza kusaka makocha wazawa na kufundisha timu za Taifa zinazojiandaa na michezo ya Olimpiki 2012. |
|
|
 |
| Waraka wa Bwana Kiwale kwa Julio |
| JAMANI eee, Zee la Kutibua lipo salama kabisa, wala halijachukuliwa na mafuriko kwa vile linaishi sehemu salama ndani ya Sinza hapa Bongo. |
|
 |
| Miaka kumi; tulikotoka na tunakokwenda |
| NAPENDA kuchukua nafasi hii kuwashukuru wasomaji wetu ambao wamekuwa wakitutumia salamu za pongezi kwa kutimiza miaka kumi ya gazeti hili la Mwanaspoti. |
|
 |
| Cecafa isipobadilika, itakosa dili |
| BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), limekiri kuingia hasara kwenye michuano ya Kombe la Chalenji iliyomalizika jijini Dar es Salaam hivi karibuni kwa Uganda kutwaa ubingwa. |
|
| |
|
|