| Maoni ya wasomaji |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-01-13 09:56:06 |
| Jina la mwekaji |
Hamis Kilunge |
| Kicha cha maoni yake |
Wekeni habari za Angola |
| Maoni yenyewe |
Mwanaspoti mkoje nyie?, mbona habari za angola hamuweki hii site yenu vipi? mnatuboa sana sisi wasomaji.... |
| Nchi aliopo |
Norway |
| Barua Pepe: |
hkilunge@yahoo.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-02-03 02:39:15 |
| Jina la mwekaji |
sware |
| Kicha cha maoni yake |
wekelea |
| Maoni yenyewe |
mnajitahidi sana wadau,wekelea picha mob zaidi. |
| Nchi aliopo |
mombasa |
| Barua Pepe: |
rerer@gmail.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-01-29 00:22:43 |
| Jina la mwekaji |
Saleh H. Vuai |
| Kicha cha maoni yake |
WARABU WA PEMBA W.... |
| Maoni yenyewe |
"WARABU WA PEMBA HUJUANA KWA VILEMBA" huu ni msemo uliozoeleka ndani ya z,bar na ndicho kilicho watokea vigogo wa soka Algeria dhidi ya mafarao wa Misri kwa hiyo na sisi t.z tuige mfano huu tunapokutana na nchi za A.Mashariki kwani mpira ni TECHNICK kama walivyofanya Algeria dhidi ya Ivory coast. |
| Nchi aliopo |
Zanzibar |
| Barua Pepe: |
Lovert2@mig33.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-01-29 17:00:40 |
| Jina la mwekaji |
Gabriel Mathias |
| Kicha cha maoni yake |
Video za Lupopo Fc ni muhim zitafutwe |
| Maoni yenyewe |
Nawaomba Papic na msaidizi wake mmoja aende DRC ili akawaone Lupopo na alete mikanda hata mi3 tu ili wachezaji waione inavyocheza yaani viongozi wasipuuzie ktk hili na mwanaspoti mlifuatilie ili mtu habarishe ni hayo tu mhariri ni mimi GM wa Moshi sec yanga moja |
| Nchi aliopo |
Moshi,Tz |
| Barua Pepe: |
Gab@yahoo.com au0789110358
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-03-10 02:50:38 |
| Jina la mwekaji |
Haji Hassan Haji |
| Kicha cha maoni yake |
Twiga Star hongereni na ushindi lakini jitihada zi |
| Maoni yenyewe |
Naipongeza timu ya wanawake ya Tanzania (Twiga Star) kwa kuichapa 3-1 Ethiopia huko Addis Ababa. Licha ya kupata ushindi mzuri ugenini dhidi ya Ethiopia katika kuwania kombe la mataifa ya Afrika ngazi ya kinadada itahitaji kufanya mazoezi makali kwa lengo la kusonga mbele katika michuano hii. Kweli Twiga Star mumeshinda lakini msibweteke mukajiona mumepenya kwani wapinzani wenu (Ethiopia) wanajifua vizuri kujalipiza kisasi hukuhuku Tanzania. |
| Nchi aliopo |
Zanzibar |
| Barua Pepe: |
Loverthaji1@hotmail.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-01-16 09:31:20 |
| Jina la mwekaji |
hussein ssenyange |
| Kicha cha maoni yake |
Tupeni ukweli kuhusu mr.blue |
| Maoni yenyewe |
Ndg mhariri.
Tunaomba utupe ukweli kuhusu uvumi unao enea kuhusu msanii mr.blue |
| Nchi aliopo |
saudi arabia |
| Barua Pepe: |
husseinhaffanissenyange@yahoo.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-02-07 03:33:01 |
| Jina la mwekaji |
nakuchema |
| Kicha cha maoni yake |
tujirekebishe |
| Maoni yenyewe |
kwanini athman idd na kaseja hawapo kwenye national team? acheni majungu bongo!!! |
| Nchi aliopo |
sudan |
| Barua Pepe: |
salimhaninu@yahoo.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-01-11 04:52:40 |
| Jina la mwekaji |
Futunatus mbire |
| Kicha cha maoni yake |
Togo |
| Maoni yenyewe |
Jamani mbona habari ya togo hamjaweka? alafu hata matokeo ya mechi hizo kubwa hamuweki tuwaeleweje ukurasa wa burudani upo vile vile why hamko serious. |
| Nchi aliopo |
Afrika kusini |
| Barua Pepe: |
futi@yahoo.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-03-10 02:14:54 |
| Jina la mwekaji |
Haji Hassan Madogo |
| Kicha cha maoni yake |
Terry hana makosa, kuporwa unahodha England ameone |
| Maoni yenyewe |
Nahodha wa Chelsea na aliyekuwa nahodha wa England John Terry hakuwa na makosa yoyote kuhusu timu ya taifa England, kwani suala la mapenzi liko nje ya soka. |
| Nchi aliopo |
Zanzibar |
| Barua Pepe: |
Loverthaji1@hotmail.com
------------------------------------------------------------------------ |
| Tarehe yaliyowekwa |
2010-01-23 14:21:58 |
| Jina la mwekaji |
Johny |
| Kicha cha maoni yake |
Simba 3 Prisons 1 |
| Maoni yenyewe |
Simba 3 Prisons 1. Yanga msife moyo. Nyie kaeni nyuma muhesabu nyao za Simba ili mujuwe mnyama kafika wapi. |
| Nchi aliopo |
Ilala |
| Barua Pepe: |
johny55@gmail.com
------------------------------------------------------------------------ |
|
|
 |