MUIGIZAJI nyota na mtayarishaji mahiri wa filamu Swahiliwood, Steven Kanumba amewahimiza wasanii kujiunga na vyuo vya filamu vinavyoanzishwa nchini badala ya kukimbilia kuigiza moja kwa moja.
ZAWADI ameliambia Mwanaspoti kuwa sababu ya tasnia ya uigizaji kushuka ni vituo vya Televisheni kutojali na kuthamini maigizo hayo ambayo yeye anaona ilikuwa ni njia nzuri wasanii kupitia na kuingia katika filamu.
MWIGIZAJI na mpambaji wa wasanii Swahiliwood, Vanita Omary amejikuta akiwa mwenye muonekano mpya na tofauti baada ya uzazi wa mtoto wake wa kike anayeitwa Precious ambaye kwa sasa ana miezi kadhaa.
MWANADADA nguli katika tasnia ya filamu Swahiliwood, Jenifer Kyaka Odama ameingia katika kundi la akina dada wajasiriamali baada ya kuamua kufungua kampuni yake ya utengenezaji wa filamu kwa ajili ya utayarishaji wa filamu zake.
SHIRIKISHO la Soka la Kenya (FKF), limezitaka klabu zote zitakazocheza Ligi Daraja la Kwanza ngazi ya Taifa, kutangaza hali zao za kifedha kabla ya ligi hiyo kuanza wikendi ijayo.
WANASOKA waliokuwa wamezuiwa kucheza mechi za Ligi Kuu Kenya (KPL) kutokana na kukosa Hati za Uhamisho wa Kimataifa (ITC), sasa wamekubaliwa kucheza.
Wachezaji hao ni pamoja na mshambuliaji matata, Allan Wanga na wengine sita.
WANASOKA chipukizi 100 wa umri chini ya miaka 17 wameteuliwa kuingia raundi ya pili ya kugombea uteuzi wa timu ya mseto ya Pwani itakayofanya ziara nchini Italia na Marekani Julai mwaka huu.
MWENYEKITI wa Shirikisho la Soka Kenya (FKF), Sam Nyamweya, amepongezwa kwa juhudi kubwa anazotekeleza za kuinua na kuimarisha hali ya soka kuanzia mashinani hadi ngazi ya taifa.
TERRY Ouko, sentahafu wa timu ya taifa ya wasichana wa umri chini ya miaka 20, Harambee Starlets, amesema wako tayari kufia uwanjani ili kupata ushindi dhidi ya Zambia kwenye mechi ya marudiano ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia itakayochezwa jijini Nairobi wiki mbili zijazo.