| Rooney achekelea msiba wa Ronaldo |
|
MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Wayne Rooney amesema haumizwi na suala la nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo kushindwa kutua katika fainali za Kombe la Dunia mwakani. |
| Argentina ni kufa au kupona |
|
"MWANAUME mbaya", Nolberto Solano anatarajia kukiongoza kikosi cha Peru katika kumuongezea hasira kocha wa Argentina, Diego Maradona katika mechi ya kufuzu ya fainali za Kombe la Dunia 2010. |
| Ronaldo: Bayern ni gharika |
|
NYOTA wa Manchester United, Cristiano Ronaldo anaamini kwamba Bayern Munich ndio kikosi cha kukiogopa katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. |
| Man United hasira zote Fulham |
|
HASIRA za Manchester United za kudhalilika chini ya Alex Ferguson katika miongo miwili zitakuwa kubwa wakati kikosi hicho kitakaposhuka uwanjani leo Jumamosi kupambana na Fulham katika mechi ya Ligi Kuu England. |
| Rihanna akumbwa na aibu |
|
MWANAMUZIKI nyota wa miondoko ya R&B, Rihanna anaogopa kutoka hadharani sambamba na mpenzi wake Chris Brown licha ya kurudisha uhusiano motomoto. |
| Lindsay Lohan anusurika adhabu |
|
JAJI wa Beverly Hills, Marsha Revel amefuta kibali cha kumkamata muigizaji Lindsay Lohan baada ya wakili wa muigizaji huyo kuonyesha vielelezo vilivyothibitisha kwamba dada huyo amekuwa akihudhuria darasa maalum la ushauri wa kuacha pombe. |
| Baba wa Beyonce afukuzwa kibarua |
|
IMEFAHAMIKA kwamba baba wa Beyonce aitwaye Mathew Knowles ametimuliwa kazi ya umeneja wa mwanamuziki Lyfe Jennings. |
| Kipa amuacha mkewe wa pili |
|
KIPA wa zamani wa Arsenal, David Seaman amemuacha mke wake wa pili ikiwa ni miaka 15 tangu alipoachana na mkewe wa kwanza. |
| Arshavin mwendo mdundo |
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amesema kwamba mchezaji Andrey Arshavin wa Russia ni hazina kwa klabu.
Arshavin amekuwa akijiweka fiti tangu alipojiunga na kikosi hicho katika dirisha dogo la usajili wa mwezi Januari. |
| Rafa: Fergie chamtoto |
|
KOCHA wa Liverpool, Rafa Benitez amemwambia Alex Ferguson kwamba ataendelea kuwa 'baba yake' katika soka. |