| Eriksson:Kongamano lije tujadili Jabulani |
|
SVEN-Goran Eriksson ametaka kuitishwa kwa kongamano la wanasoka na makocha kujadili mpira wenye utata wa Kombe la Dunia na kushauri Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) isikilize maoni yao. |
| Komandoo ashikiliwa Sauzi |
|
SI Tanzania tu ambako kuna makomandoo wanaouuza tiketi za magendo za kuingilia uwanjani, hata Sauzi wapo. |
| Baridi yakimbiza mashabiki uwanjani |
MAMBO manne yalijitokeza juzi Jumanne
usiku wakati Brazil ilipoifunga Korea
Kaskazini mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Ellis
Park jijini hapa, lakini mashabiki wakaukimbia
uwanja baada ya dakika 75. |
| Mgambo wagomea Kombe la Dunia |
JESHI la Polisi limeongeza ulinzi katika
viwanja vinne ambako kunafanyika mechi za
Kombe la Dunia kutokana na walinzi
waliokuwa wamewekwa kwa kazi hiyo
kugoma. |
| Wajerumani wakumbushwa mama zao |
|
FANYENI kama mama yenu alivyokuwa akiwaambia kila mara, makocha wa Ujerumani wamekuwa wakiwaambia wachezaji wakati wakijiandaa kuhakikisha kuwa baridi haiwaathiri katika mechi yao ya kesho Ijumaa dhidi ya Serbia. |
| Amuomba radhi Naibu Waziri |
|
KIUNGO wa Ghana, Laryea Kingston amemuomba radhi Naibu Waziri wa Michezo, Nii Nortey Dua kutokana na kauli zilizotolewa na mama yake (Laryea). |
| Lindsay Lohan achezewa mchezo mchafu |
|
WIKI mbili zilizopita Lindsay Lohan alikataliwa kuingia katika klabu moja ya usiku iitwayo, Les Deux bila kuambiwa chochote, marafiki zake aliongozana nao waliruhusiwa kuingia. |
| Rooney achekelea msiba wa Ronaldo |
|
MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Wayne Rooney amesema haumizwi na suala la nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo kushindwa kutua katika fainali za Kombe la Dunia mwakani. |
| Argentina ni kufa au kupona |
|
"MWANAUME mbaya", Nolberto Solano anatarajia kukiongoza kikosi cha Peru katika kumuongezea hasira kocha wa Argentina, Diego Maradona katika mechi ya kufuzu ya fainali za Kombe la Dunia 2010. |
| Ronaldo: Bayern ni gharika |
|
NYOTA wa Manchester United, Cristiano Ronaldo anaamini kwamba Bayern Munich ndio kikosi cha kukiogopa katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. |