Jul 30, 2010, 2:40 pm TFF UEFA FIFA Yahoo Sport CAF Staff Mail Premier League English News Spoti Majuu
 
 
 
 
 
 
 
 

 

 

Mwanaspoti English news
Eriksson:Kongamano lije tujadili Jabulani
SVEN-Goran Eriksson ametaka kuitishwa kwa kongamano la wanasoka na makocha kujadili mpira wenye utata wa Kombe la Dunia na kushauri Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) isikilize maoni yao.
Komandoo ashikiliwa Sauzi
SI Tanzania tu ambako kuna makomandoo wanaouuza tiketi za magendo za kuingilia uwanjani, hata Sauzi wapo.
Baridi yakimbiza mashabiki uwanjani
MAMBO manne yalijitokeza juzi Jumanne
usiku wakati Brazil ilipoifunga Korea
Kaskazini mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Ellis
Park jijini hapa, lakini mashabiki wakaukimbia
uwanja baada ya dakika 75.
Mgambo wagomea Kombe la Dunia
JESHI la Polisi limeongeza ulinzi katika
viwanja vinne ambako kunafanyika mechi za
Kombe la Dunia kutokana na walinzi
waliokuwa wamewekwa kwa kazi hiyo
kugoma.
Wajerumani wakumbushwa mama zao
FANYENI kama mama yenu alivyokuwa akiwaambia kila mara, makocha wa Ujerumani wamekuwa wakiwaambia wachezaji wakati wakijiandaa kuhakikisha kuwa baridi haiwaathiri katika mechi yao ya kesho Ijumaa dhidi ya Serbia.
Amuomba radhi Naibu Waziri
KIUNGO wa Ghana, Laryea Kingston amemuomba radhi Naibu Waziri wa Michezo, Nii Nortey Dua kutokana na kauli zilizotolewa na mama yake (Laryea).
Lindsay Lohan achezewa mchezo mchafu
WIKI mbili zilizopita Lindsay Lohan alikataliwa kuingia katika klabu moja ya usiku iitwayo, Les Deux bila kuambiwa chochote, marafiki zake aliongozana nao waliruhusiwa kuingia.
Rooney achekelea msiba wa Ronaldo
MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Wayne Rooney amesema haumizwi na suala la nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo kushindwa kutua katika fainali za Kombe la Dunia mwakani.
Argentina ni kufa au kupona
"MWANAUME mbaya", Nolberto Solano anatarajia kukiongoza kikosi cha Peru katika kumuongezea hasira kocha wa Argentina, Diego Maradona katika mechi ya kufuzu ya fainali za Kombe la Dunia 2010.
Ronaldo: Bayern ni gharika
NYOTA wa Manchester United, Cristiano Ronaldo anaamini kwamba Bayern Munich ndio kikosi cha kukiogopa katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
 
Advert Space
 
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2010:Started October 1,2007