Mfahamu Kingwendu nje na uchekeshaji MCHEKESHAJI mkongwe nchini, Rashid Mwinshehe 'Kingwendu' anaamini maisha bila 'plani B' ni vigumu kufanikiwa kwa haraka, vinginevyo mtu afanye kazi inayomuingizia pesa ndefu. Mwanaspoti...
Kinachoendelea Kwa Mkapa muda huu | Mashabiki wafunguka utabiri wa mabao Yanga vs Simba Mwananchi Digital 953K subscribers
CAF yaipa ushindi Berkane, yaitega USM ALGER Shirikisho la Soka Afrika (CAF) hatimaye limefanya uamuzi wa kuipa ushindi RS Berkane baada ya kubaini Wamorocco hao walifanyiwa vitendo sio vya kiungwana na wenyeji wao USM Alger ya Algeria.