TAMASHA la kumuenzi hayati Bob Marley lijulikanalo kama (Carribean beat) linatarajiwa kufanyika kesho kwenye viwanja vya Kijitonyama Posta kwa kuwashirikisha wanamuziki 55 wa muziki wa Reggae kutoka ndani na nje ya jiji la Dar es salaam.
MTUNZI wa filamu ya Senior Bachelor ambaye pia ni mwigizaji na mtayarishaji wa filamu za Swahiliwood, Tumaini Bigirimana Anti Fifi, ameamua kuiendeleza sehemu ya tatu ya filamu hiyo.
THEA amesikitishwa na malumbano ya upinzani uliopo kati ya makundi mawili ambayo ni Bongo Movie Club na Shirikisho la Vyama vya Wasanii wa filamu Tanzania (TAFF) akisisitiza kuwa malumbano hayo hayajengi.
MSANII kinda, Justin Bieber, hii imekuwa ni wiki nzuri kwake kwani ndiyo amemaliza elimu ya sekondari baada ya kuisotea kwa muda mrefu kutokana na kutingwa na muzik
MWANAMUZIKI, Rita Ora, amesema bado haamini kama anafanya kazi chini ya rapa nguli, Jay Z kutokana na historia ya familia yake ambayo ilikimbilia nchini Uingereza.
KIVUMBI kinatarajiwa kutifuka leo Jumamosi katika Uwanja wa Koitoror, maeneo ya Sergoit, pale Koitoror FC itakapowaalika Toloita Raiders katika mechi kali ya Ligi ya FKF Tawi la Uasin Gishu.
MWENYEKITI wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), Sam Nyamweya, ameshauriwa kutafuta wadhamini wa kugharimia posho za waamuzi wa mechi za Ligi Daraja la Kwanza ngazi ya Taifa.
TIMU ya soka ya Agrochemicals imeendelea kuonyesha makali yake kwa kuicharaza Timsales mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Kanda B iliyofanyika mjini Elburgon wikiendi iliyopita.
SERIKALI imeombwa itoe pesa ilizotenga kwa ajili ya marekebisho ya Uwanja wa Manispaa ya Mombasa ambao haujatumika kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu sasa.