PRIME Mbadala wa Aucho Yanga huyu hapa YANGA wameanza mapema kukifanyia maboresho kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kupiga hodi kuulizia huduma ya kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma kama mbadala mpya wa staa wao, Khalid Aucho.
Yanga, Coastal kuna mtu atalia Chamazi HESABU za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania kwa Yanga zipo mikononi mwa Coastal Union Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi huku wagosi hao wa Kaya nao wakitolea macho kumaliza...
Siku 125 Baleke alipotupia kitu cha nane LEO Aprili 26, 2024 ni siku 125 tangu aliyekuwa straika wa Simba, Jean Baleke alipofunga bao lake la nane, Desemba 23, 2023 dhidi ya KMC na hakuna mshambuliaji wa timu hiyo aliyefikia mabao...
Kalaba aruhusiwa kutoka hospitalini NAHODHA wa zamani wa Zambia, Rainford Kalaba ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kujeruhiwa vibaya katika ajali ya gari mwanzoni mwa mwezi huu. Kiungo huyo wa zamani wa TP Mazembe, alikuwa...
Mastaa Yanga wawaachia msala Azizi KI, Musonda ACHANA na matokeo yaliyopatikana kati ya Yanga na JKT Tanzania unaambiwa wachezaji zaidi ya watatu ndani ya kikosi cha Yanga wamemtupia zigo kiungo Stephane Aziz Ki na Keneddy Musonda kumaliza...
Vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara karata ngumu YANGA, Azam na Simba ndizo timu zinazopigania nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Pia...
Simba, KVZ zaanza kufukuzia mil 50 WAKATI KVZ ikiialika Simba katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Muungano leo kuanzia saa 2:15 usiku katika Uwanja wa Amaan, timu zinazoshiriki zimetangaziwa zawadi ya Sh50 milioni kwa itakayobeba...
Raska Zone hesabu kali wakiitisha KVZ Nahodha wa kikosi hicho, Ramadhan Yussuf Isaa alisema licha ya kuwepo kwenye mapumziko ya mwezi mmoja lakini wamerudi wakiwa na nguvu na ari mpya na wapo tayari kuipambania timu hiyo.
PRIME Ukiwa na macho ZPL marufuku BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la macho mekundu maarufu...
Kinachoendelea Kwa Mkapa muda huu | Mashabiki wafunguka utabiri wa mabao Yanga vs Simba Mwananchi Digital 953K subscribers
NIONAVYO: Soka la kununua bila kuuza halina tija SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA) lina sheria na taratibu za kuhakikisha kuna nidhamu ya mapato na matumizi miongoni mwa nchi wanachama wake ikiwa ni pamoja na klabu. Lengo la utaratibu huu siyo...
Dabi ya Mashemeji... K'Ogalo yaizamisha tena Ingwe BAO pekee la dakika 30 lililowekwa kimiani na Austine Odhiambo limeiwezesha Gor Mahia kuizamisha tena AFC Leopards katika pambano la Dabi ya Mashemeji lililopigwa jioni ya leo Jumapili, jijini...
El Clasico imembakiza Xavi kazini, moto unawaka Ile El Classico haijachosha watu. Kiungo wa England, Jude Bellingham alikuwa steringi iliyopigwa Bernabeu, ambapo Los Blancos ilishinda 3-2, huku Barcelona ikilalamikia bao lao kukataliwa.