PRIME Dube aandaliwa mkataba mnono GUMZO la mshambuliaji wa Azam, Prince Dube, aliyeamua kubwaga manyanga na kutaka kuachana na timu hiyo kabla ya mkataba kumalizika sasa limechukua sura mpya baada ya kupewa ofa. Wakati wengi...
Benchikha hesabu kali CAF BAADA ya mapumziko mafupi waliyopewa walipotoka kushinda mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa, mastaa wa Simba ambao hawajaitwa kwenye timu zao za taifa, wanarejea kambini leo Jumatatu, huku kocha mkuu wa...
JICHO LA MWEWE: Upande mwingine wa Fei na Dube unaochanganya zaidi KUNA yule mwandishi aliyewahi kutuambia ‘Pesa zako zinanuka’. Ni kweli ukisoma kitabu chake unagundua kwamba zipo pesa ambazo zinanuka. Lakini kuna mwingine aliyewahi kuandika kitabu akatuambia...
Fei afungukia bao lake kwa Yanga Kiungo wa Azam Feisal Salum, Fei Toto, amesema pamoja na kwamba amefanikiwa kuifunga Yanga, lakini timu hiyo ni bora kwenye Ligi Kuu Bara. Yanga imekubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam...
Aziz KI hajazifunga saba tu Achana na mechi ya jana usiku wakati kikosi cha Yanga kilipovaana na Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini unaambiwa kiungo Stephane Aziz Ki ni kama anachezea sifa kwa sasa kutokana na...
Umesikia kuwa Al Hilal kukiwasha msimu ujao Ligi Kuu? Umeshawaza msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara kutakuwa na ugeni wa moja ya vilabu vikubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati? Basi kama haujui, ikufikie taarifa kuwa, miamba ya soka...
PRIME Ukiwa na macho ZPL marufuku BODI ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPLB) kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Issa Kassim ameliambia Mwanaspoti hawatamruhusu kucheza mechi mchezaji yeyote atakayebainika kuwa na tatizo la macho mekundu maarufu...
Dk Mwinyi ajitosa ishu ya Zanzibar CAF SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema bado inapambana ili kupata ufumbuzi juu ya suala la timu ya taifa ya soka ya Zanzibar, 'Zanzibar Heroes' la kutopata nafasi ya kushiriki...
Ule utamu wa miaka 1990 umeanza kurudi Zanzibar WALE waliokuwa wakiamini soka la Zanzibar limeporomoka kiasi kwamba isingekuwa rahisi kuwavuta mastaa wa kigeni kwenda kucheza visiwani humo, pole yao. Wadau na mashabiki wengi wa soka visiwani...
JICHO LA MWEWE: Upande mwingine wa Fei na Dube unaochanganya zaidi KUNA yule mwandishi aliyewahi kutuambia ‘Pesa zako zinanuka’. Ni kweli ukisoma kitabu chake unagundua kwamba zipo pesa ambazo zinanuka. Lakini kuna mwingine aliyewahi kuandika kitabu akatuambia...
Wakenya wabeba ndoo Coco Beach TIMU za Kenya, Kwale Kings na Kilifian HC juzi zilidhihirisha kuwa bora katika mchezo wa mpira wa mkono wa ufukweni baada ya kutawala mashindano ya TAHA Open Handball Championship yaliyohusisha...
Dah! Rais wa PSG akomaa kufukuzia saini ya Rashford MIAMBA ya soka ya Ufaransa, Paris Saint-Germain imeweka wazi dhamira yake kuu ya kuhakikisha inanasa saini ya mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford kwa gharama yoyote ile kwenye...