MCL Mwananchi TheCitizen Nation Monitor TheCitizen epaper Email  
May 18, 2012, 5:14 pm Upo Nyumbani
ISSUE:: 1256 TOLEO LA:: Month 05-15,2012
Tafuta Habari
 
Habari zilizowekwa hivi punde:: Kocha mpya Stars awatimua Nizar, Nsajigwa,Cannavaro
HABARI KUBWA
Kocha mpya Stars awatimua Nizar, Nsajigwa,Cannavaro
Soka nyingine:-
> Messi wa Simba atatisha sana
> Haijatokea mabao kama haya matano Dar
> Banka, Meshack wavamia Mombasa
> Dida atua kwa mbwembwe Azam
> Kocha wa Simba afunua fomesheni zake
> Fabregas: Nichezesheni
> Kaseja: Niliwalazimisha kupiga penalti
> Haijatokea mabao kama haya matano Dar
 
Yanga wameiuza Simba Sudan
KOCHA wa timu ya taifa ya Rwanda, Sredejovic Milutin Micho, amesema Simba imeaga mashindano ya Kombe la Shirikisho baada ya kulewa na ushindi walioupata kwa Yanga
Taiya: Hamna msaada kwa Wabongo
SUZAN Odero (22), maarufu kama Taiya, amedai kuwa maudhui ya filamu nyingi za Bongo hayana msaada sana kwani hayazungumzii matatizo halisi ya Watanzania.
MMETUONA!
MANCHESTER City imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya miaka 44....
Daktari: Wachezaji Yanga wana matatizo makubwa
RIPOTI za madaktari wa Yanga, zimebainisha kwamba asilimia 30 ya wachezaji wa klabu hiyo wakiwemo wote wa kigeni walikuwa na matatizo mazito kiafya....
Makala::Burudani
MWANZONI mwa miaka ya 1990, Hamis Thobias Gaga Gagarino angeingia katika Ukumbi wa DDC Kariakoo jijini Dar es Salaam akiyumba.
MUIGIZAJI maarufu wa filamu nchini Tanzania, Wastara Juma, amesema kuwa alikataa kuwekwa mapumziko (bed rest)...
Steven Kanumba, yule gwiji wa filamu nchini Tanzania, amelazwa katika nyumba yake ya milele ambayo hawezi kusikia vitisho vya njaa, kupanda kwa mafuta wala umeme, na hata migogoro ya kisiasa na kijamii.
Makala::Soka
Wiki iliyopita tuliona jinsi kiungo huyu mkongwe alivyotokea katika timu za mitaani kabisa na kuibuka hadi kufikia mchezaji wa kucheza ligi kubwa kabisa ya Mataifa Huru ya Afrika.
BAADA ya mafanikio ya kushika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu, Azam imeanza mapema kujipanga kwa msimu ujao.
MARA nyingi vijana wamekuwa wakikata tamaa na kushindwa kutimiza ndoto zao kutokana na kukosa uvumilivu.
Habari za burudani
Bob Marley kuenziwa kesho
TAMASHA la kumuenzi hayati Bob Marley lijulikanalo kama (Carribean beat) linatarajiwa kufanyika kesho kwenye viwanja vya Kijitonyama Posta kwa kuwashirikisha wanamuziki 55 wa muziki wa Reggae kutoka ndani na nje ya jiji la Dar es salaam.
Anti Fifi atoa kitu kingine
MTUNZI wa filamu ya Senior Bachelor ambaye pia ni mwigizaji na mtayarishaji wa filamu za Swahiliwood, Tumaini Bigirimana Anti Fifi, ameamua kuiendeleza sehemu ya tatu ya filamu hiyo.
Thea awananga wanaozozana
THEA amesikitishwa na malumbano ya upinzani uliopo kati ya makundi mawili ambayo ni Bongo Movie Club na Shirikisho la Vyama vya Wasanii wa filamu Tanzania (TAFF) akisisitiza kuwa malumbano hayo hayajengi.
Bieber amaliza shule
MSANII kinda, Justin Bieber, hii imekuwa ni wiki nzuri kwake kwani ndiyo amemaliza elimu ya sekondari baada ya kuisotea kwa muda mrefu kutokana na kutingwa na muzik
Rita Ora bado anateswa na ndoto za Jay Z
MWANAMUZIKI, Rita Ora, amesema bado haamini kama anafanya kazi chini ya rapa nguli, Jay Z kutokana na historia ya familia yake ambayo ilikimbilia nchini Uingereza.
Mwanaspoti Motomoto
Kwa kheri Mafisango *Kuagwa leo uwanja wa TCC, Chang'ombe
Mafisango alijitabiria kifo
'Tegete anaweza kwenda Simba akitaka'
Chaneta yajipa Moyo
Mlenzi aitwa Twiga Stars
Vodacom Ligi:5bora
Timu P Pts
Simba 26 62
Azam FC 26 56
Yanga 26 52
Mtibwa 26 42
Coastal Union 26 39
Matokeo Mengine
Maoni ya Mhariri
Hongera Taifa Queens, lakini kazi bado
  TIMU ya Taifa ya netiboli ya Tanzania (Taifa Queens) imeshika nafasi ya pili katika michuano ya mchezo huo kwa Mataifa ya Afrika iliyomalizika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Maoni ya wasomaji
songea magazeti bei ghali
Mumetuchanganya
Mbeya ni jiji?
Maoni
BUKOBA IPATE MAGAZETI KWA MUDA MUAFAKA
Tuma Maoni || Maoni zaidi
Busara za wakereketwa wa michezo
Hili ni kama jicho la mbali la Poulsen
Milovan ameivusha na kuiondoa Simba
Wanasoka wetu wawe na uzalendo
Yanga wanalamba glasi yenye Juisi tamu
Hadithi na Mahaba
Mwambie ukweli mwenzako, muimarishe uhusiano wenu
Acha kumjibu mkeo, mumeo Kifidhuli!!
Maneno yanapogeuka sumu nyumbani
Huu ndiyo umuhimu wa kuoa/kuolewa
Habari za Kenya
Koitoror, Toloita kumaliza ubishi
KIVUMBI kinatarajiwa kutifuka leo Jumamosi katika Uwanja wa Koitoror, maeneo ya Sergoit, pale Koitoror FC itakapowaalika Toloita Raiders katika mechi kali ya Ligi ya FKF Tawi la Uasin Gishu.
Klabu ziondolewe mzigo wa posho za waamuzi
MWENYEKITI wa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), Sam Nyamweya, ameshauriwa kutafuta wadhamini wa kugharimia posho za waamuzi wa mechi za Ligi Daraja la Kwanza ngazi ya Taifa.
Agrochemicals mwendo mdundo
TIMU ya soka ya Agrochemicals imeendelea kuonyesha makali yake kwa kuicharaza Timsales mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Kanda B iliyofanyika mjini Elburgon wikiendi iliyopita.
Kamilisheni marekebisho ya uwanja Mombasa
SERIKALI imeombwa itoe pesa ilizotenga kwa ajili ya marekebisho ya Uwanja wa Manispaa ya Mombasa ambao haujatumika kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu sasa.
Nakumatt yasubiri kivumbi kikali
PAMOJA na kuwa leo Jumamosi inacheza na Re Union, lakini Nakumatt FC inatarajiwa kuwa na kivumbi kikali kesho itakapoumana na Black Stars.
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2012:Started October 1,2007