MCL Mwananchi TheCitizen Nation Monitor TheCitizen epaper Email  
Jan 28, 2012, 4:38 pm Upo Nyumbani
ISSUE:: 1192 TOLEO LA:: Oct 11-14,2011
Tafuta Habari
 
Habari zilizowekwa hivi punde:: Kocha Zamalek ajiuzulu ghafla
HABARI KUBWA
Kocha Zamalek ajiuzulu ghafla
Soka nyingine:-
> Simba wachovu kwa Mbeya City
> Majeruhi Yanga wapokezana
> Twiga Stars kama kawa
> Cheka na Nyilawila watauana ulingoni
> Azam na Simba zaitegeshea Yanga
> Yanga yakabidhiwa Wahabeshi
> Kagame aingilia mechi ya Simba
> Paqueta apuuza kipigo cha kwanza
 
Kiungo Azam kuongezewa mguu
KIUNGO wa Azam FC, Ibrahim Mwaipopo, atatakiwa kuvaa kiatu maalumu cha mguu wa kulia atakapokuwa akicheza uwanjani baada ya kugundulika una matatizo.
Makipa Watanzania waonyeshana ubabe
MAKIPA wa Tanzania wanaocheza soka nje, Mohammed Muharami wa Ferroviario de Maputo ya Msumbiji na Ivo Mapunda wa Gor Mahia ya Kenya, wataonyeshana ubabe kwenye Kombe la Shirikisho barani Afrika, pale timu zao zitakapokutana.
Maximo apata zali Ligi Kuu
KOCHA wa zamani wa Taifa Stars, Mbrazili Marcio Maximo, hatimaye amepata timu ya Ligi Kuu nchini mwake, baada ya kukabidhiwa kikosi cha E.C Democrata cheye maskani yake Jimbo la Minas Gerais.
Bob Junior kumbe anamzuga Diamond
BOB Junior amedai kuwa hawezi kufanya kolabo na msanii Diamond ambaye walipatana miezi kadhaa iliyopita na kwamba alisema atafanya hivyo ili kuwazuga tu mashabiki.
Makala::Burudani
ALLY Choki amevunja ukimya na kutamka maneno ambayo baadhi ya wadau wa muziki wa dansi nchini hawatapenda kuyasikia.
WACHUNGUZI wa muziki wa dansi wanadai mwaka jana ulizidiwa nguvu na kupepesuka hususani miezi sita ya kuelekea mwishoni.
WASANII wa filamu Bongo mwaka 2011 walifanya mambo makubwa na kupiga hatua katika tasnia ya filamu, huku wasanii wengine wakiibuka na kuwa gumzo.
Makala::Soka
BEKI wa kati wa Yanga, Bakari Mohamed Mbegu 'Bedui' ndiye anasaidiana na Nadir Haroub `Cannavaro' katika kikosi cha timu hiyo.
MKONGWE Mussa Nditi ndiye baba mzazi wa kiungo wa Mtibwa na Taifa Stars, Shaaban Nditi.Katika enzi yake ya uchezaji alikuwa anacheza nafasi ya....
KUNA mambo mengi umewahi kuyasikia kuhusu Carlos Tevez. Mengi yanahusu ukorofi wake. Lakini labda kuna mengine ambayo hujawahi kuyasikia.
Habari za burudani
Kanumba: Jamani wasanii nisikieni
KANUMBA amewaomba wasanii wa filamu za Bongo kuwa na upendo na ushirikiano ili kufika mbali tofauti na ilivyo sasa ambapo kila mtu na mambo yake.
Heh! Matonya ameanza kufulia kweli
SIRI imefichuka kwamba Matonya ameuza nyumba yake ya jijini Tanga, lakini amewaambia marafiki zake wa karibu kwamba amefanya hivyo ili mambo yaende sawa kimaisha na siku si nyingi ataibukia kwingine.
Chegge na Temba wanapiga hela vibaya
CHEGE na Temba wamekiri kwamba mwaka jana walipiga hela kwa vile ulikuwa na mafanikio na shoo kibao.
Machozi akaribia kumaliza Jela
STAA wa muziki wa Bongo anayekubalika Mombasa, Husein Machozi, anakaribia kukamilisha video yake ya wimbo wa Jela lakini amelalamikia kupanda kwa gharama za maisha na kurekodi huku akisisitiza Serikali kuchukua hatua
Anti Fifi naye haachwi nyuma?
MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo, Tumaini Bigirimana 'Anti Fifi', anafungua mwaka na filamu mpya ya Queen Spear.
Mwanaspoti Motomoto
Mshiriki Big Brother kuingia 'patna'
Papic apata matumaini mapya
Twiga Stars yaingia kambini
CCM yavuruga
Simba yajikita Dar
Vodacom Ligi:5bora
Timu P Pts
Simba 14 31
Yanga 14 28
Azam FC 14 26
Oljoro 14 26
Mtibwa 14 22
Matokeo Mengine
Maoni ya Mhariri
Simba, Yanga na ushindi wa magazetini
  TAKRIBAN wiki mbili zimesalia kabla ya klabu za Tanzania, Yanga na Simba, hazijaanza kampeni zao kwenye michuano ya klabu barani Afrika.
Maoni ya wasomaji
Habari
Kero
stars
yanga yawafukuza yaw berko,davis mwape, asamoah
Maoni
Tuma Maoni || Maoni zaidi
Busara za wakereketwa wa michezo
Papic anaweza kujifunga kabla ya mechi
Arsene Wenge acha kuwatosa wakongwe
Azam wameleta mapinduzi ya soka
Kama Messi angekuwa Mtanzania angesemaje?
Hadithi na Mahaba
Tabia ya Kununa ovyo huharibu mapenzi
Ukipewa ofa, subiri kuilipa, hakuna cha bure duniani (2)
Ukipewa ofa, subiri kuilipa, hakuna cha bure duniani
Hana Krismasi wala Mwaka Mpya! Pole
Habari za Kenya
Paco achekelea kutua Rwanda
BEKI matata wa AFC Leopards, Jonas Nahimana Paco, amejiunga na kikosi cha timu ya Rwanda kitakachojipima nguvu na Congo Brazaville, leo Jumamosi.
AFC Leopards yanoa majeshi yake Mumias
AFC Leopards imepiga kambi yake mjini Mumias katika Kaunti ya Kakamega, ikijiandaa kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya KPL.
Gor yajaribu makucha kwa El Mereikh
MAGWIJI wa soka nchini, Gor Mahia, wanaohaha kurejesha ubabe wao, leo Jumamosi wana kibarua cha kujaribu makucha watakayoyatumia katika mashindano ya Afrika kwa kuvaana na El Mereikh ya Sudan.
Kenya inavyojipanga kuitoa Nigeria fainali za wasichana
TIMU ya taifa ya soka ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 17, Jumamosi ijayo itakuwa na kibarua kigumu cha kuishinda Nigeria kwenye mechi ya marudiano ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia.
Bosi wa Congo atua Admiral
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Ufundi wa Congo United FC, Aref Baghazally ametangaza rasmi kujiunga kwake na klabu ya Admiral FC, akiwa meneja wa timu.
© Mwananchi Communications Ltd:2007-2012:Started October 1,2007